Hamilton, Verstappen sako kwa bako

MBIO za magari nchini Hungary wikiendi hii zinatarajiwa kuwa na msisimko wa aina yake kutokana na kampuni ya Mercedes kushinda mbili mfululizo zilizopita nchini Austria na Uingereza. Madereva George Russell na Lewis Hamilton ndio waliofanikisha ushindi huo ambao umeirudisha kwenye chati kampuni hiyo kiasi cha kuamsha vita mpya kati ya kampuni hizo pinzani kwa miaka…

Read More

WATUMISHI WA AFYA ZINGATIENI MAADILI YA KAZI KAZINI

Naibu Waiziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb) amewataka Watumishi wa Sekta ya Afya kote Nchini kuhakikisha wanazingatia utoaji wa huduma kwa kuzingatia Maadili, Lugha nzuri na Uwajibikaji kutokana na viapo vyao vya ya kazi pindi wawapo kazini. Mhe. Dkt. Dugange ametoa maelekezo hayo…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More

Nape aomba radhi kwa kauli ya ‘ushindi nje ya boksi’

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu. Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo Jumatano Julai 17, 2024 Nape ameomba radhi wote walikerwa na…

Read More

Dar City, Tausi Royals zatibua mambo BDL

TIMU ya Dar City na Tausi Royals zimedhirisha ubora    katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kushinda mechi zilizopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Osterbay, huku zikitibua mipango ya timu shindani. Dar City inayoongoza ligi kwa upande wa wanaume ikiwa na pointi 33 katika mchezo uliopigwa juzi iliifumua Vijana ‘City…

Read More

KONA YA MALOTO: Tukio la Trump linathibitisha Marekani ni ileile

John Hinckley Jr, alitekwa kihisia na mwigizaji wa Hollywood, binti mrembo, Jodie Foster. Filamu ya Taxi Driver ilipotoka mwaka 1976, Hinckley, angeitazama kila siku ili kumwona Jodie. Hinckley alimpenda sana Jodie. Haukuwa upendo wa kawaida, bali ugonjwa. Hinckley alifanya majaribio mengi ya kumsogeza Jodie karibu. Alimwandikia barua mara kwa mara. Mara chache alizungumza naye kwa…

Read More

Ubabe ubabe, hawana ugenini wala nyumbani

UNAPOSIKIA neno ugenini kama nyumbani hiyo inamaanisha kwamba popote pale mechi ikipigwa ushindi unapatikana haijalishi uchache wa mashabiki wa upande wa mshindi wala wingi wake. Katika mchezo wa ngumi, imekuwa ni kama kawaida kushuhudia mabondia wanapokuwa ugenini wanapoteza mapambano yao kwa kiwango kikubwa, ikitokea mgeni ameshinda ugenini, inakuwa stori kubwa sana. Kupoteza mapambano kwa mabondia…

Read More

Mkongwe: Shida kikapu iko hapa!

MCHEZAJI mkongwe wa timu ya taifa ya kikapu, Amin Mkosa amesema mfumo wa uendeshaji wa baadhi ya klabu nchini ndiyo unaofanya zikose udhamini. Akizungumza na Mwanasposti juzi Dar es Salaam, Mkosa alisema mchezo huo umeshindwa kuendana na ukuaji wa kikapu duniani katika mfumo wa kibiashara unaoweza kuwa chanzo cha kipato kwa wachezaji kwa sababu  timu…

Read More

CCM NI CHAMA KINACHOFUATA DEMOKRASIA NA KINASHINDA KWA HAKI- CPA MAKALLA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Chama cha Mapinduzi kinaamini kwenye Uhuru na haki na demokrasia na CCM haiwezi kuharibu ila Kitafuata taratibu zote za Uchaguzi ndo mana tunafanya Ziara Ili kueleza Mazuri yetu kwani Ilani imetekelezwa hatuna kupagawa. Kama kuna mtu anafikiri Chama cha Mapinduzi hakishindi kwa haki anajidanganya ukweli ni kwamba CCM ndo Chama kinachoshinda kwa haki kwani ndo…

Read More