TANZANIA, MAREKANI WASHIRIKIANA KUPAMBANA DHIDI YA UGONJWA WA SARATANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja na Ubunifu ili kuwezesha wananchi wa Afrika kupata huduma bora za Saratani bila kikwazo. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo katika kikao kilichofanyika Ikulu ya Marekani (White House)…

Read More

Simba bado pamoto… kiungo rasta asaini miwili

MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka KMC, kuhusiana na kiungo rasta, Awesu Awesu kuvunja mkataba wa miaka miwili na timu hiyo, kisha kusaini Simba ambayo imepiga kambini Misri kujiandaa na msimu ujao. Kiongozi mmoja wa KMC, amebainisha kwamba Awesu alivunja mkataba wake kwa Shilingi 50 milioni, baada ya kuona ugumu wa kuondoka akiwa bado na…

Read More

CCM, Dk Tulia wanavyojipanga kumdhibiti Sugu Mbeya Mjini

Licha ya kuwa bado kipenga hakijapulizwa, wanaotajwa zaidi kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Mbeya Mjini kwenye uchaguzi wa 2025 ni Dk Tulia Ackson atakayetetea kiti chake na aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Siasa katika jimbo hilo zimezidi kupamba moto ambapo Sugu anazidi kujiimarisha kurudi tena bungeni, tayari…

Read More

Wanamichezo saba mguu sawa Olimpiki

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema msafara wa Tanzania kwenye michezo ya Olimpiki msimu huu utaondoka nchini kwa mafungu. Kundi la kwanza litaondoka Julai 22 likiwa na mkuu wa msafara, Henry Tandau. Imesema, kundi la pili litaondoka Juali 23 na kundi la mwisho ni la wanariadha watakaoondoka Agosti 7 tayari kwa michezo hiyo itakayofunguliwa Julai…

Read More

DK. MWINYI AAHIDI KUENDELEZA MATAMASHA YA ASILI ILI KUONGEZA IDADI YA WATALII – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuyaimarisha matamasha yaliyopo ikiwemo Mwaka Kogwa na kubuni matamasha mengine mapya kwa lengo la kuongeza vivutio vya utalii nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo wakati wa akihutubia maelfu ya Wananchi waliojitokeza katika Tamasha la Mwaka Kogwa ambalo linafanyika…

Read More

Kazi ya kulazimishwa ni ya kitaasisi na ni hatari, inaonya ofisi ya haki za Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Katika ripoti iliyotokana na mahojiano 183 na waathiriwa na mashahidi wa kazi ya kulazimishwa ambao walifanikiwa kutoroka DPRK na sasa wanaishi nje ya nchi, OHCHR alitoa ushuhuda wa mtu mmoja kwamba ikiwa mgawo wa kazi wa kila siku hautafikiwa, wafanyikazi wangepigwa na kukatwa mgao wao wa chakula. “Watu hawa wanalazimika kufanya kazi katika mazingira yasiyovumilika…

Read More