Marekani kuongeza nguvu mapambano ya saratani nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Tanzania na Taasisi ya Biden Cancer Moonshot ya nchini Marekani, wamekaa kikao cha pamoja kutathmini maeneo muhimu ya kushirikiana kupambana na  saratani nchini. Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, vifaa tiba hasa vya kutoa huduma za mionzi, takwimu, tafiti na ubunifu ili…

Read More

Mikopo ilivyo mwiba nchi za Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Miongoni mwa masuala yanayowaumiza vichwa viongozi na wananchi wa nchi za Afrika Mashariki, ni ukubwa na mwenendo wa deni ambalo limegeuka mwiba katika mataifa hayo na hivyo umakini kuhitajika katika matumizi ya fedha zinazokopwa. Kwa sehemu kubwa bajeti za kulipa madeni katika nchi hizo ama zimezidi au kukaribia nusu ya mapato yanayokusanywa…

Read More

Ma-DC Tanga wakabidhiwa magari mapya ya Sh683 milioni

Tanga. Wakati Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Buriani akiwakabidhi wakuu wa Wilaya za Pangani, Kilindi na Korogwe, viongozi hao wamesema yatarahisisha kazi ya kuwahudumia wananchi. Magari hayo yaliyogharimu Sh683 milioni ni sehemu ya vyombo vya usafiri vilivyotolewa kwa Mkoa wa Tanga vikigharimu zaidi ya Sh1.1 bilioni. Akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi magari viongozi…

Read More

Kesi unyang’anyi wa kutumia silaha yakwama tena

Dar es Salaam. Serikali imesema wanasubiri kupangiwa hakimu mwingine ili waendelee na usikilizwaji wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kuiba Sh 90milioni, inayowakabili watu watano wakiwamo waliokuwa polisi. Washtakiwa katika kesi hiyo ya jinai namba 197/2023 ni waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba  F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na…

Read More

RHMT’s & CHMT’s LINDI WATAKIWA KUSHIRIKIANA

Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa LIndi Natalis Linuma amezitaka Timu za Usimamizi wa Shughuli za Afya za Halmashauri (CHMT’s) na mkoa (RHM) za mkoa wa Lindi kuwa na ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya usimaizi katika huduma za Afya na kila moja awajibike katika eneo lake ili kuboresha huduma katika maeneo ya kutolea huduma za…

Read More

Simulizi ya mateso, Kombo akidai kuzungushwa mikoa 10

Dar es Salaam. Ndugu wa kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamesimulia jinsi ndugu yao alivyokamatwa na watu wasiojulikana Juni 15, 2024 na hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kukiri kumshikilia. Jumapili iliyopita, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Zacharia Bernard alitoa taarifa kwa vyombo akieleza kumshikilia Kombo kwa  tuhuma za kutumia vifaa…

Read More

ZIFF YATANGAZA FILAMU ZINAZOWANIA TUZO 2024

*Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika shughuli za Sanaa na Jamii WAANDAAJI WA Tamasha la Kimataifa la Filamu la Nchi za Jahazi Zanzibar maarufu kama ZIFF ( Zanzibar International Film Festival,) wametangaza filamu 70 kati ya 3000 zilizowasilishwa ambazo zitashiriki katika kuwania tuzo za ZIFF kwa msimu wa 27,2024 utakaofanyika Agosti 1 Hadi…

Read More