Rais Kagame azungumza kwa mara ya kwanza baada ya kuchaguliwa

Kigali. Rais mteule wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa tena kuongoza Taifa hilo huku akiwashukuru wananchi wa Rwanda kwa kumwamini tena kwa kumchagua. Katika uchaguzi huo uliofanyika Julai 15, 2024, Kagame aliyegombea kupitia chama tawala cha RPF, amepata jumla kura 7,099,810 kati ya kura zote milioni 9,071,157, ushindi huo ni sawa na asilimia 99.15. Amefuatiwa na…

Read More

RPC MTATIRO AZINDUA KAMPENI YA USAMBAZAJI NISHATI YA KUPIKIA NCHINI KATI YA G4S NA ORYX GAS

Kamanda wa Polisi (M) Kinondoni, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Mtatiro Kitinkwi (katikati) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Oryx Tanzania, Benoit Araman (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya G4S, Imelda Lutebinga wakizindua kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ikiwa ni  kampeni mahususi ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia…

Read More

WAUGUZI BMH WADHAMIRIA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA PAMOJA ILI KUBORESHA HUDUMA ZA TIBA

Na Jeremiah Mbwambo, Dodoma Ili kuongeza ufanisi katika kutoa huduma, wauguzi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wamekubaliana kufanya kazi kwa kujituma zaidi na kama timu wanapohudumia wagonjwa. Wameyasema hayo leo wakati wakiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa BMH, Prof Abel Makubi, katika kikao cha kufahamiana na kushirikishana mwelekeo wa Hospitali na dhana ya ubora wa…

Read More

Gen Z waliamsha tena, wamtaka Ruto ajiuzulu

Nairobi. Polisi katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi leo Julai 16, 2024 wametumia gesi ya machozi kuwatawanya waandamanaji wa Gen Z wanaopinga Serikali na kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu. Kwa mujibu wa Aljazeera, majeruhi wameripotiwa Nairobi na sehemu nyingine, huku mwandamanaji mmoja ameripotiwa kuuawa huko Kitengela. Shirika la Habari la Reuters limeripoti kwamba polisi huko…

Read More

Jinsi Upatikanaji wa Soko la Marekani Ulivyobadilisha Bahati ya Dada wawili wa Afrika Kusini – Masuala ya Ulimwenguni

Mo's Crib hutumia miundo ya kitamaduni ya Kiafrika na nyenzo endelevu kutengeneza vipande vya mapambo na vifaa vya nyumbani vya hali ya juu vilivyochochewa na asili. Maoni by Mkhululi Chimoio (umoja wa mataifa) Jumanne, Julai 16, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Julai 16 (IPS) – Kilichoanza kama hamu ya kuuza ufundi katika masoko…

Read More

RAIS SAMIA AMETOA MILIONI 105 KUKARABATI SHULE YA MVINZA NA MILIONI 365.5 ZILIZOJENGA SHULE MPYA – Mhe. Katimba

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amesema, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa milioni 105 zilizoboresha miundombinu ya Shule ya Msingi Mvinza na milioni 365.5 zilizojenga shule mpya ya Msingi ya Songambele ambayo imepunguza msongamano wa wanafunzi uliokuwepo katika shule ya Mvinza wilayani Kasulu. Mhe. Katimba…

Read More

MTOTO WA 12 APONA SELIMUNDU ARUHUSIWA KUTOKA BMH

Na Ludovick Eugene Kazoka, Dodoma Mtoto wa kumi na mbili (12) kupona ugonjwa wa selimundu baada ya kupandikizwa uloto katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ameruhusiwa kutoka leo. Mtoto huyo kwa jina, Caris Anthony, mwenye umri wa miaka 8, amepandikizwa uloto katika Kitengo cha Upandikizaji Uloto BMH tarehe 11/06/2024. Akiongea na Kitengo cha Mawasiliano na…

Read More

Chalamila ‘aiomba radhi’ CCM kiaina

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ni kama amekiomba radhi Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu kauli yake ya kuwataka wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo kuacha kuandamana kwenda katika chama hicho, badala yake waende ofisi yake. Akifafanua Chalamila amesema dhamira ya kauli yake kwa wafanyabiashara hao ni kuwataka wangeandamana kwenda…

Read More