Mabinti zaidi ya elf 3 kujengewa uwezo wa stadi za maisha

Mabinti balehe na Wanawake Vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 Mkoani Iringa kunufaika na Mafunzo mbalimbali yanayotolewa na Mradi wa Epic unaotekelezwa na Shirika la Family Health International (FHI360) Kwa ufadhili wa mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na UKIMWI (PEPFAR) na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa…

Read More

BIL 3 ZIMETOLEWA MATENGENEZO BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA EL-NINO MKOANI NJOMBE-ENG RUTH

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kushughulikia Barabara zilizoathiriwa na mafuriko/Mvua za El-Nino kwa mkoa wa Njombe. Fedha hizo zimetumika kuhakikisha kuwa miundombinu yote ya Barabara iliyoathiriwa na wananchi kushindwa kutoka eneo moja Kwenda jingine inapitika kwa…

Read More

SABABU KIFO CHA ISMAIL HANIYEH – MWANAHARAKATI MZALENDO

Taarifa iliyotolewa mapema Jumatano asubuhi, Hamas ilithibitisha kwamba Ismail Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kwa ajili ya kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian. Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake, huku Israel na viongozi wake wakubwa wakiwa hawajatoa majibu rasmi kuhusu madai haya. Kifo cha Haniyeh, ambaye alikuwa…

Read More

Bilioni 3 zimetolewa matengenezo barabara zilizoathiriwa na El-Nino Mkoani Njombe

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kushughulikia Barabara zilizoathiriwa na mafuriko/Mvua za El-Nino kwa mkoa wa Njombe. Fedha hizo zimetumika kuhakikisha kuwa miundombinu yote ya Barabara iliyoathiriwa na wananchi kushindwa kutoka eneo moja Kwenda jingine inapitika kwa…

Read More

Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa

TAARIFA iliyotolewa na Hamas imesema kuwa Haniyeh ameuawa katika shambulio lililofanywa na Wazayuni (Israel) mjini Tehran, Iran. Inaripiti Mitandao ya Kimaraifa. Katika taarifa yake Jumatano asubuhi, Hamas ilisema Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian.Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake Wanajeshi wa…

Read More