Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 14
Habari

WAKURUGENZI WAPEWA MWEZI MMOJA KUKAMILISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA SHULE ZA WASICHANA

July 31, 2024 Admin

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri (hawapo pichani) kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya shule mpya za

Read More
Habari

Kama unataka kufanya biashara ya usafiri wa mtandaoni chagua magari haya

July 31, 2024 Admin

Watu wengi wanaotaka kuanza kufanya biashara ya usafiri wa mtan­daoni hujiuliza kuhusu aina za magari zitakazofaa katika kuleta faida kubwa zaidi kwenye biashara hii ya

Read More
Habari

Kauli za mwisho za mama mzazi wa Halima Mdee kabla ya mauti

July 31, 2024 Admin

Dodoma. Ndugu na watu wa karibu wa Theresia Mdee, mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee, wameelezea kauli za mwisho za marehemu kwao

Read More
Habari

Mabinti zaidi ya elf 3 kujengewa uwezo wa stadi za maisha

July 31, 2024 Admin

Mabinti balehe na Wanawake Vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 Mkoani Iringa kunufaika na Mafunzo mbalimbali yanayotolewa na Mradi wa Epic unaotekelezwa

Read More
Habari

BUNDI, NGEDERE KUCHELEWESHA TRENI YA SGR – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa ikielekea Dodoma kutokea Dar es salaam siku ya tarehe 30 Julai 2024, katika Stesheni ya Kilosa

Read More
Habari

Tunachunguza vifaa vilivyopokelewa na havionekani hospitali ya Katoro wilaya ya Geita

July 31, 2024 Admin

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Geita imeanza kuchunguza Upotevu wa Baadhi ya Vifaa vilivyonunuliwa na kupokelewa katika Hospitali ya Katoro ambapo

Read More
Habari

BIL 3 ZIMETOLEWA MATENGENEZO BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA EL-NINO MKOANI NJOMBE-ENG RUTH

July 31, 2024 Admin

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kushughulikia

Read More
Habari

SABABU KIFO CHA ISMAIL HANIYEH – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Taarifa iliyotolewa mapema Jumatano asubuhi, Hamas ilithibitisha kwamba Ismail Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kwa ajili ya kuapishwa kwa Rais Masoud

Read More
Habari

Bilioni 3 zimetolewa matengenezo barabara zilizoathiriwa na El-Nino Mkoani Njombe

July 31, 2024 Admin

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 3 kwa ajili ya kushughulikia

Read More
Habari

Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa

July 31, 2024 Admin

TAARIFA iliyotolewa na Hamas imesema kuwa Haniyeh ameuawa katika shambulio lililofanywa na Wazayuni (Israel) mjini Tehran, Iran. Inaripiti Mitandao ya Kimaraifa. Katika taarifa yake Jumatano

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.