Filamu 70 zapenya Tamasha la ZIFF

Dar es Salaam. Filamu 70 zitachuana kuwania tuzo kwenye tamasha la 27 la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF) litakaloanza Agosti mosi hadi 4 visiwani Zanzibar. Filamu hizo ni kati ya 3,000 zilizopokewa kutoka mataifa mbalimbali duniani na 70 kupenya kwenye mchujo. Filamu za Afrika Mashariki zilizowasilishwa zilikuwa 354 ambazo kutoka Kenya ni 169, Uganda…

Read More

Mama, binti waanza kutoa ushahidi kesi ya Dk Nawanda

Mwanza. Upande wa Jamhuri katika kesi ya kulawiti inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, umeanza kutoa ushahidi wake. Kesi hiyo namba 1883/2024, imeanza kusikilizwa leo Jumanne Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza, Erick Marley. Kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo, upande wa…

Read More

Utulivu Experience yaandaa Matembezi jijini Dar es Salaam

  Katibu wa Utulivu Experience Dkt.Mboni Kibelloh akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Matembezi na Tamasha jijini Dar es Salaam. Afisa Sanaa Mwandamizi wa Baraza la Sanaa nchini (BASATA) Abel Ndaga  akizungumza kuhusiana na Ushirikiano kati Utulivu Experience na Serikali jijini Dar es Salaam. Picha ya pamoja ya Utulivu Experience mara baada ya kuzungumza …

Read More

Hukumu kesi ya Ditto dhidi ya DSTV yaahirishwa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited, maarufu DSTV iliyokuwa itolewe leo Jumanne Julai 16. Hukumu hiyo sasa itatolewa Julai 22, 2024 mahakamani hapo mbele ya jaji mfawidhi, Salma Maghimbi. Wakili wa Ditto, Elizabeth Mlemeta…

Read More

MWALIMU NEW VISION MIRERANI AJINYONGA SHULENI

Na Mwandishi wetu, Babati MWALIMU wa shule binafsi ya awali na msingi New Vision ya mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amejfariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) George Katabazi akizungumza na waandishi wa habari amemtaja mwalimu huyo kuwa ni…

Read More

CCM yapinga kauli ya Nape ushindi katika uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeipinga kauli ya kiongozi wake wa zamani, Nape Nnauye aliyesema ushindi katika uchaguzi hautokani na wingi wa kura za kwenye boksi, bali nani anayehesabu na kutangaza matokeo.  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla leo Jumanne Julai 16, 2024 amesema kauli hiyo haitokani…

Read More