TUMIENI JENGO LA HALMASHAURI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kutumia jengo jipya la halmashauri kutoa huduma bora kwa wananchi. Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito huo kwa watumishi wa halmashauri hiyo, wakati akiongea na wananchi wa Kalambo…

Read More

WAKURUGENZI TOENI FEDHA ZILIZOTENGWA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE – DKT.DUGANGE – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. Festo Dugange amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Nchini kuhakikisha wanatoa fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa afua za lishe kama zilizopangwa katika bajeti.     Akifungua Mkutano wa mwaka kwa maafisa lishe wa mikoa na halmashauri nchini leo…

Read More

Mzee wa miaka 63 auawa Mbozi, anyofolewa viungo vya mwili

Mbozi. Mkazi wa Kijiji cha Nambizo kilichopo Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Kuminya Sambo (63) ameuawa na watu wasiojulikana huku viungo vya mwili wake ikiwamo miguu na mkono vikiwa vimenyofolewa na mwili kutelekezwa pembeni mwa barabara. Baadhi ya ndugu wa marehemu pamoja na majirani wamesema mauaji ya mzee huyo aliyekuwa akiishi peke yake, yamewashitua huku…

Read More

WAZIRI WA KILIMO AFANYA ZIARA, AKAGUA MAGHALA YA NFRA

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) yaliyopo eneo la Mazwi, Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa tarehe 16 Julai 2024.  Katika ziara hiyo, Bw. Marwa Range, Meneja wa Kanda ya Sumbawanga – NFRA alieleza kuwa uwezo wa kuhifadhi nafaka za mahindi…

Read More

Djokovic maji ya shingo ‘grand slam’

KAMA hatasimama kidete, basi madogo janja Jannik Sinner na Carlos Alcaraz watamchelewesha sana kama sio kufuta nafasi yake ya kuweka rekodi mpya ya dunia ya mataji 25 makubwa ya tenisi (Grand Slam) anayoisaka supastaa wa tenisi, Novak Djokovic. Djokovic mambo sio mambo mwaka huu kwani ameshindwa kubeba taji lolote kubwa katika yale matatu makubwa ya…

Read More

Wito wa kimataifa wa kuwapa vijana ujuzi kwa ajili ya mustakabali wenye amani na endelevu – Masuala ya Ulimwenguni

Katika ujumbe wa Jumatatu Siku ya Ujuzi wa Vijana DunianiAntónio Guterres alidokeza kuwa vijana duniani tayari wanafanya kazi kujenga jumuiya salama na zenye nguvu, ingawa karibu robo moja hawako katika elimu, ajira au mafunzo. “Wanaweza kuleta mabadiliko makubwa zaidi kwa mustakabali wetu wa pamoja kwa mafunzo kwa uchumi unaokua wa kijani kibichi na kidijitali, elimu…

Read More

Wamiliki wa Hoteli Kagera waililia TRA juu ya huduma za EFD

Na Renatha Kipaka, Bukoba Wamiliki na mameneja wa hoteli mkoani Kagera wameiomba serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuchukua jukumu la kuwa mawakala wa kuuza na kutengeneza mashine za risiti za kielektroniki (EFDs) ili kupunguza usumbufu kwa wafanyabiashara unaotokana na kufuata huduma hizo mbali. Ombi hilo limetolewa juzi wakati wa kikao baina ya maafisa…

Read More