MBUNGE ZUENA BUSHIRI AWASHA MOTO MWANGA..

NA WILLIUM PAUL, MWANGA. MBUNGE wa viti maalum kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri ameendelea na ziara yake wilayani Mwanga ambapo amekabidhi mashuka yaliyotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kituo cha Afya cha Mwanga. Akikabidhi mashuka hayo, Zuena alisema kuwa serikali ya awamu ya sita imeendelea kupambana kuhakikisha changamoto zinazoikabili sekta ya Afya…

Read More

Robo ya tatu yaiokoa JKT Stars

USHINDI wa JKT Stars dhidi ya Polisi Stars wa pointi 98-82 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL),  ulichangiwa na pointi 23-13 ilizopata katika robo ya tatu. Mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua uliofanyika katika Uwanja wa Donbosco Youth Centre, Upanga. Katika mchezo huo JKT Stars iliongoza katika robo ya kwanza…

Read More

Wafanyabiashara Makambako wapewa wiki moja kuhamia Soko la Kiumba

Njombe. Wafanyabiashara wa mazao katika Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wamepewa siku saba kuanzia leo kuondoka maeneo yasiyo rasmi na kuhamia Soko la Kiumba lililojengwa maalumu kwa ajili yao. Agizo hilo limetolewa leo Jumanne Julai 16, 2024 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Keneth Haule wakati akizungumza na wafanyabiashara hao.  Wafanyabiashara…

Read More

Jonas Mushi: Sitishiki na wachezaji wanaoongoza

WAKATI wachezaji wa timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wakichuana kwa ufungaji, lakini  nyota wa JKT, Jonas Mushi ameibuka na kusema hatishwi na hilo. Mushi amesema ligi hiyo bado ni ndefu, hivyo ana nafasi kubwa ya kuongoza kwa ufungaji katika siku za usoni. “Tunatakiwa tumalize mzunguko wa pili. Nakuhakikishia nitapambana…

Read More

Pesa ipo mechi za kirafiki leo

Michuano mikubwa mbalimbali imemalizika sasa ni mechi za kirafiki za kujiandaa na msimu mpya ambapo timu kibao leo zipo dimbani na ODDS KUBWA za kijanja zimeshawekwa ndani ya Meridianbet. Ingia na uanze kubeti sasa. FC Copenhagen ya Denmark itakipiga dhidi ya Sdenderjyske ambapo mechi hii imepewa ODDS 1.44 kwa 4.80. Mwenyeji amemaliza nafasi ya 3…

Read More

KATIBU MKUU SAMAMBA AKUTANA NA UJUMBE WA MAREKANI

Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Madini Mhandisi Yahya Samamba, ameupokea ujumbe wa Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wake nchini na kufanya kikao kifupi cha utambulisho ambapo ujumbe huo umeeleza kusudio la kufika Wizarani. Akizungumza katika kikao hicho kifupi, kilichofanyika leo Julai 16, 2024, Mhandisi Samamba ameueleza ujumbe huo kuhusu mpango wa Wizara kuhuisha Mpango Mkakati…

Read More