Pamba Jiji yachomoa beki Championship 

BEKI wa kulia wa Pamba Jiji, Yunus Lema amesema kucheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza ni ndoto ya muda mrefu iliyotimia, huku akiamini imemfungulia njia ya kufanya vizuri na kucheza soka la kulipwa kimataifa. Lema amesajiliwa msimu huu na Pamba akitokea Mbuni FC ya Arusha inayoshiriki Championship aliyodumu nayo kwa miaka mitano, huku kiwango…

Read More

Wakongwe Simba waanza kujipata | Mwanaspoti

MASTAA wa kikosi cha Simba wamesema wana kila sababu ya kufanya makubwa msimu ujao kutokana na viongozi, benchi la ufundi kufanya kile kinachowapa mwanga wa kuhakikisha wanakuwa bora. Simba ipo nchini Misri kujiweka tayari kwaajili ya msimu mpya huku mastaa hao wakiweka wazi kuwa msingi ni nidhamu na ushirikiano ili kufikia malengo yao 2024/25. Wakizungumza…

Read More

RPC MTATIRO AZINDUA KAMPENI YA USAMBAZAJI NISHATI YA KUPIKIA NCHINI KATI YA G4S NA ORYX GAS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) akimsikiliza jambo Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga(kulia)wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais…

Read More