Umoja wa Mataifa unatoa salamu za 'mafanikio makubwa' huku wabunge wakiunga mkono marufuku ya ukeketaji – Global Issues

Wabunge katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi walipiga kura siku ya Jumatatu kukataa muswada ambao ulitaka kubatilisha sheria ya mwaka 2015 dhidi ya tabia hiyo hatari, ambayo inahusisha kukata au kuondoa baadhi au sehemu zote za nje za uzazi za wanawake. Ukeketaji unafanywa zaidi kwa watoto wachanga na wasichana wadogo. Inaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa…

Read More

Baerbock afanya ziara Afrika Magharibi – DW – 16.07.2024

Ziara hii ni juhudi za kuongeza ushirikiano wa Ujerumani na mataifa ya Afrika Magharibi, ili kuzuia kuenea kwa ukosefu wa usalama kunakoshuhudiwa kwa sasa katika mataifa ya ukanda wa Sahel. Akizungumza mjini Dakar, Baerbock amesema usalama wa Afrika Magharibi na maendeleo ya siku zijazo ni mambo yanayohusiana kwa karibu na usalama na maendeleo ya Ulaya….

Read More

TANROADS YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), imetekeleza kwa vitendo maagizo yaliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu ya kuchagua na kuendesha mafunzo ya vinara wa ufuatiliaji na uthamini katika taasisi za umma. Mmoja wa Waratibu wa mafunzo ya vinara yaliyotolewa na wawezeshaji kutoka ofisi ya Waziri Mkuu, hivi karibuni Bw. Elirehema Saiteru, Meneja…

Read More

maandamano yarejea tena kudai uwajibikaji – DW – 16.07.2024

Hali ni ya wasiwasi katikati ya jiji la Nairobi ambako maduka yamefungwa na idadi ya watu wanaotembea sio ya kawaida. Polisi wanapiga doria na baadhi ya barabara zimefungwa. Polisi wamefyatua makopo ya gesi ya kutoa machozi ili kuwatawanya waliokuwa wanakusanyika. Moshi ulihanikiza na baadhi wanaonekana wakiosha nyuso zao. Pikipiki kadhaa zimetelekezwa wakati wa mshike mshike…

Read More

Sintofahamu Manula akibaki Dar timu ikiwa Misri

SINTOFAHAMU inaendelea kwa kipa wa Simba, Aishi Manula aliyekuwa anadaiwa angejiunga na Azam FC iliyoweka kambi Morocco, lakini ajabu ni kwamba bado yupo jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka ndani ya Simba zinasema haitaki kumtoa Manula kwenda Azam kwa mkopo isipokuwa inataka kumuuza, jambo linaloonekana ni gumu kufanyika. Mmoja wa viongozi wa timu hiyo amesema…

Read More