Hii sasa sifa…. Yanga yashusha mwingine pale kati

HAWAJAMALIZA. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada ya Yanga kuwa kwenye hatua za mwisho kumalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Singida Fountain Gate, Abdulmajid Mangalo ili kuongeza nguvu eneo la ulinzi na kuchukua nafasi ya Gift Fred. Yanga eneo hilo la beki wa kati linaundwa na nahodha, Bakari Mwamnyeto ambaye ameongezwa mkataba wa kuendelea kubaki…

Read More

Youssouph Dabo afichua jambo Azam FC

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka sababu za kumtema aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Daniel Amoah kuwa ni kupisha damu changa huku akikiri kuheshimu makubwa aliyoyafanya ndani ya timu hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti, muda mchache kabla ya kuanza safari kuelekea Morocco ambapo wameenda kuweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao, Dabo alisema yeye…

Read More

Utafiti wataja dawa ya udanganyifu vyuo vikuu

Ripoti ya utafiti ya wasomi watatu, imebainisha namna vyuo vinavyoweza kukabiliana na tatizo la udanganyifu kwenye mitihani. Mmoja wa watafiti hao, Joseph Abel ameelezea namna alivyoufanya utafiti huo na wenzake Rebecca Sima na Theresia Shavega. Ripoti ya utafiti huo ilichapishwa kwenye jarida la European Journal of Research and Reflection in Educational Sciences Vol. 8 No….

Read More

Nswanzurimo out, Kitambi in Singida BS

UONGOZI wa Singida Black Stars, umefanya mabadiliko katika benchi la ufundi la timu hiyo linaloongozwa na Patrick Aussems raia wa Ubelgiji kwa kumuongeza Denis Kitambi. Awali benchi hilo lilikuwa na Aussems ambaye ni kocha mkuu akisaidiwa na Ramadhan Nswanzurimo raia wa Burundi ambaye ameondolewa na nafasi yake imezibwa na Kitambi. Taarifa kutoka ndani ya Klabu…

Read More