Siku 3,074 za Kinana CCM kwa mtindo wa kuombwa, kujiuzulu

Aprili Mosi, 2022, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana, alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara. Nilifanikiwa kuzungumza na Kinana muda mfupi baada ya uchaguzi huo na nikamuuliza swali, kwa nini ameamua kugombea tena nafasi hiyo. Alinijibu kwa kifupi: “Nimeombwa kumsaidia mama.” Ni kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan, alikuwa akitimiza mwaka mmoja…

Read More

Ofisi ya haki za Umoja wa Mataifa inalaani kufukuzwa kwa lazima kwa familia za Wapalestina huko Jerusalem Mashariki – Masuala ya Ulimwenguni

Kufukuzwa huko ni “kuwezeshwa na matumizi haramu ya sheria za kibaguzi za Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo linalokaliwa kwa mabavu,” ilisema taarifa ya ofisi hiyo. Kesi za Kisheria Takriban familia 87 za Wapalestina – karibu watu 680 – wanakabiliwa na hatua za kisheria zilizoanzishwa na “walowezi” kuwaondoa katika nyumba zao huko Batn al-Hawa. Mnamo…

Read More

Karma ina nafasi kutenguliwa kwa Nape, January

Utenguzi uliofanywa na Rais Samia, kuwatumbuaji mawaziri wake wawili vijana, maarufu kama watoto pendwa, umepokelewa kwa hisia tofauti, wengine wanapongeza na wengine wanaona kama wameonewa. Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, ambayo ni kanuni ya kila binadamu kuhukumiwa kwa mawazo yake, maneno yake na matendo yake, wazungu wanasema, “what goes around, comes around”. Hivyo,…

Read More

KONA YA MALOTO: Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 kudhihirisha 4R za Rais Samia

Wananchi hawakuitikia vizuri wito wa kujiandikisha kwenye daftari la mpigakura, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika Novemba 2019. Hii inapaswa kujenga tahadhari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Septemba 2024. Kama swali litakuwa ni kuhoji kwa nini mwitikio ulikuwa mdogo, jibu linatakiwa liwe na macho ya namna uchaguzi hufanyika na mazingira yake. Jicho la kwanza…

Read More

KONA YA MALOTO: Siku 3,074 za Kinana CCM na panda, shuka zake

Aprili Mosi, 2022, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana, alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara. Nilifanikiwa kuzungumza na Kinana muda mfupi baada ya uchaguzi huo na nikamuuliza swali, kwa nini ameamua kugombea tena nafasi hiyo. Alinijibu kwa kifupi: “Nimeombwa kumsaidia mama.” Ni kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan, alikuwa akitimiza mwaka mmoja…

Read More

Mguu sawa… Fadlu awakomalia Mutale, Mukwala

SIMBA imekamilisha ‘pre-season’ Misri baada ya kuwa huko kwa wiki tatu na leo Jumatano imerejea Dar kumalizia maandalizi ya mwisho kabla ya Simba Day Jumamosi na msimu mpya utakaoanza Agosti 8 kwa kucheza Ngao ya Jamii. Katika wiki tatu ilizokaa Misri, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Fadlu Davids amekiona kikosi baada ya kucheza mechi tatu…

Read More