TIC yalenga uwekezaji wa Sh26.6 trilioni

Dar es Salaam. Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeeleza kuwa, mwaka huu kinalenga kusajili uwekezaji wa Dola 10 bilioni za Marekani (Sh26.6 Trilioni). Leo Jumatatu, Julai 15 2024, Mkurugenzi Mtendaji wa TIC Gilead Teri, amewaeleza waandishi wa habari kuwa lengo hilo limewekwa wakati nchi ikiendelea kuvutia uwekezaji mkubwa kutoka nje na ndani kwa kuwa na…

Read More

Mwanafunzi auawa Tabora, mwili wachomwa moto

Tabora. Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Deusdedit Katwale ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuwakamata na kuwachukulia hatua kali za kisheria watu wanaotuhumiwa na mauaji ya mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Kalunde, Salma Mussa (15). Salma ameuawa Julai 8, 2024 wakati akielekea shuleni na inadaiwa kuwa licha ya…

Read More

MWENGE WAZINDUA MRADI WA RUWASA WA MAJI MAGARA

Na Mwandishi wetu, Babati MWENGE wa uhuru umezindua mradi wa maji wa mamlaka ya wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) uliopo kijiji cha Magara Halmashauri ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Meneja wa RUWASA wilayani Babati, Felix Mollel akizungumza kwenye uzinduzi wa mradi huo na mbio za mwenge amesema utahudumia watu 5,137….

Read More

Majadiliano ya DPP, bosi wa Jatu  bado muafaka

Dar es Salaam.  Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya(33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh5.1bilioni kwa udanganyifu, bado anaendelea na vikao vya majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) ya kuimaliza kesi yake. Gasaya anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya JATU kwa madai kuwa fedha hizo atazipanda kwenye kilimo cha mazao, ili kuzalisha faida zaidi,…

Read More

Mtuhumiwa wa mauaji ya wanawake 42 adakwa

Dar es Salaam. Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa wa mauaji ya kutisha na kutupa miili katika dampo la Kware eneo la Embkasi jijini Nairobi. Mshukiwa huyo ametajwa kama mauaji anayepanga kuwaua watu na hajali uhai wa binadamu. Polisi imesema mshukiwa huyo amekiri kuwaua wanawake 42. Mkurugenzi wa Uchunguzi Makosa ya Jinai, DCI Mohamed Amin…

Read More

Wavuvi walia na kukosa vyoo mwaloni, Kafyofyo

Mbeya. Wavuvi, wafanyabiashara na wananchi waliopo pembezoni mwa Ziwa Nyasa katika mwalo wa Kafyofyo wilayani Kyela mkoani hapa wameonyesha hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kufuatia kukosa vyoo na kujikuta wakijisaidia kando na ndani ya ziwa hilo. Watu zaidi ya 3,000 wanafanya shughuli zao pembezoni mwa mwalo huo, awali walikuwa wakitumia choo kimoja chenye matundu…

Read More

Rais Samia aanza Ziara ya Kikazi Mkoani Rukwa kwa kuzindua Hospitali ya Nkasi – MWANAHARAKATI MZALENDO

RelatedPosts MHANDISI MAHUNDI ATEMBELEA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA UMOJA WA WANAWAKE WIZARA YA FEDHA WAZINDULIWA Rais Samia ahitimisha ziara yake Katavi kwa Kuzungumza na Wananchi wa Mpimbwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nkasi kutoka kwa Mhandisi Neophitus Ntalwila kabla…

Read More