MHANDISI MAHUNDI ATEMBELEA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom Tanzania kwa lengo la kujifunza namna kampuni hiyo inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutatua changamoto wanazokutana nazo wateja wao. Akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa Vodacom kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam, Mhandisi…

Read More

Mganga wa kienyeji jela miaka 30 kwa kubaka mgonjwa wake

Morogoro. Mganga wa kienyeji, Selemani Hamza (39), mkazi wa Kijiji cha Katindiuka wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka binti wa miaka 16 aliyepelekewa ili amtibie. Hukumu hiyo imetolewa leo  Jumatatu Julai 15, 2024 na Hakimu Samwel Obasi wa Mahakama ya Wilaya ya…

Read More

Mabasi mapya 100 kupoza makali mwendokasi

Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam kwa sasa liko ‘bize’ kiasi cha kama ni mgeni unaweza kudhani linajengwa upya. Maeneo mengi vumbi linatimka kutokana na ujenzi wa barabara. Barabara kadhaa, zikiwamo za Nyerere, Uhuru, Sam Nujoma, Bibi Titi na Kawawa watumiaji wanapita kwa shida, lakini hawalalamiki kwa kuwa kinachoendelea kitakuja kuwa na manufaa…

Read More

Rais Samia ahitimisha ziara yake Katavi kwa Kuzungumza na Wananchi wa Mpimbwe – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Mpimbwe katika Jimbo la Kavuu mkoani Katavi tarehe 15 Julai, 2024. Mhe. Rais Samia amehitimisha Ziara yake mkoani Katavi na Kuendelea na Ziara yake Mkoani Rukwa kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi.Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo…

Read More

Tasaf yajizatiti kuwakwamua Watanzania wanaoshindwa kukidhi mlo

Arusha. Wakati takwimu za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), zikisema asilimia nane ya Watanzania wanakabiliwa na umasikini uliokithiri ikiwamo kukosa chakula, kupitia mpango wa kuwanusuru kaya masikini, mfuko huo umejizatiti kuwakomboa watu hao. Katika takwimu hiyo ambayo ni karibu ya Watanzania milioni tano, Tasaf imesema lengo lake ni kuboresha maisha yao kwa kuwapa fedha,…

Read More