Bunge jipya ya Ufaransa kukutana Alhamisi wiki hii – DW – 15.07.2024

15.07.202415 Julai 2024 Wabunge kadhaa wa chama cha muungano wa mrengo wa kushoto nchini Ufaransa wamesema,kwamba chama hicho kinalenga kunyakuwa nafasi ya spika wa bunge wakati bunge hilo litakapofunguliwa kwa mara ya kwanza alhamisi wiki hii. https://p.dw.com/p/4iJaq Muungano wa vyama vya mrengo wa shoto nchini Ufaransa.Picha: Frederick Florin/AFP/Getty Images Chama hicho kimesema kinataka kupata nafasi…

Read More

Utalii wa matibabu kuipaisha Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiendelea kuboresha sekta ya afya, wananchi kutoka mataifa mengine wamekuwa wakifunga safari kwa ajili ya utalii wa matibabu nchini, hususani ya moyo, figo na saratani. Takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zilizokusanywa kutoka Idara ya Uhamiaji zinaonyesha idadi ya watalii iliongezeka kwa asilimia 24.3 hadi kufikia 1,808,205 mwaka…

Read More

Waziri Mhagama, Awasha umeme Chihurungi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho, akiwasha umeme katika kitongoji cha Shuleni kilichopo katika kijiji cha Chihurungi Halmashauri ya Songea. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho,akizungumza na wananchi wa Chihurungi na Parangu wakati wa ziara…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Pondamali kuibukia Yanga

KIPA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Juma Pondamali ‘Mensah’ yupo ukingoni kujiunga na Yanga Princess kama kocha wa makipa. Nyota huyo wa zamani ambaye pia aliwahi kuwa kocha inaelezwa hadi sasa kuna uwezekano mkubwa msimu ujao akaitumikia timu hiyo katika eneo hilo kutokana na uzoefu wake. Wakati huo huo Yanga Princess imetua kwa beki…

Read More

TIC kuvunja rekodi usajili miradi ya uwekezaji nchini.

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha Julai 2023 hadi Juni 2024, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesajili miradi 707 ukilinganisha na miradi 369 iliyosajiliwa kipindi kama hicho mwaka wa fedha 2022|2023. Miradi hiyo ya 2023/2024 ina thamani ya dola za Marekani bilioni 6.561 ukilinganisha na kiasi cha thamani ya dola za Marekani bilioni 5.394 kwa…

Read More

TRA yaendelea na utekelezaji maagizo ya Waziri Mkuu 

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wanaendelea na utekelezaji wa maagizo yaliyowekwa na Serikali wakati wa kikao cha wadau cha kujadili na kutafuta suluhisho la mgogoro wa wafanyabiashara hasa wale wa kariakoo. Amesema mpaka sasa wamekamilisha utengenezaji wa mifumo miwili ikiwemo wa kutoa nyaraka za manunuzi na wa bei elekezi…

Read More