Waziri Mhagama awasha umeme Chihurungi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama, amewataka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaweka mkakati mzuri wa kusaidia kusambaza umeme vijijini kwa taasisi za serikali na dini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama (Mb), akizungumza na…

Read More

Crispin Ngushi apewa mmoja jeshini

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Crispin Ngushi amejiunga na kikosi cha Maafande wa Mashujaa ya Kigoma kwa mkataba wa mwaka mmoja. Ngushi aliyewahi kuichezea Mbeya City, amejiunga na Mashujaa akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Yanga kumalizika huku Coastal Union iliyokuwa inamtumia kwa mkopo msimu uliopita, ikishindwa kukubaliana naye maslahi binafsi ya kubaki naye….

Read More

Hizi hapa mbinu tatu uombaji sahihi wa vyuo vikuu

Dodoma. Wakati Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), ikitangaza kufunguliwa kwa dirisha la udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza kwa mwaka 2024/25, waombaji wametakiwa kuzingatia mambo matatu makubwa, ikiwemo mahitaji ya soko la ajira. Mambo mengine wanayotakiwa kuzingatia ni ubora wa vyuo na ufadhili wa masomo utakayoyasoma, ikiwemo kutoka vyuo vya nje ya nchi….

Read More

Gomez atua Fountain Gate | Mwanaspoti

TIMU ya Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa KVZ ya Zanzibar, Seleman Mwalimu ‘Gomez’. Nyota huyo aliyewahi kuzichezea timu mbalimbali ikiwemo FGA Talents inayoshiriki Ligi ya Championship amejiunga na kikosi hicho kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza akitokea Singida Black Stars ambayo imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu. “Ni kweli tumemtoa…

Read More

Wananchi Paje wataka ushirikishwaji ujenzi uwanja wa ndege

Unguja. Wananchi zaidi ya 400 katika Kijiji cha Paje Mkoa wa Kusini Unguja, wameingiwa wasiwasi kuhusu kuhamishwa eneo hilo,  kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege wakidai hawajashirikishwa. Wasiwasi huo unatokana na kuwapo mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kutaka kujenga uwanja wa ndege katika eneo hilo. Wamesema wamekuwa wakiona wataalamu wanaenda…

Read More

RC MAKONDA AKABIDHI MILIONI 38 KWA WASHINDI WA SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amekabidhi jumla ya fedha taslimu shilingi Milioni 38 za Kitanzania kwa washindi wa vipengele mbalimbali vya mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship. Kelvin Gabriel ndiye aliyetangazwa kama mshindi wa jumla kwenye mashindano hayo akiondoka na fedha taslimu shilingi Milioni kumi za Kitanzania ambapo Mkuu wa…

Read More