Trump asimulia alivyookolewa, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa ‘Secret Service’ Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa anahutubia Jumamosi Julai 13,…

Read More

ZRA inavyojipanga kudhibiti rushwa Zanzibar

Unguja. Wakati Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ikitunukiwa tuzo ya udhibiti vitendo vya rushwa, imesema hatua hiyo imeongeza morali kuendelea kupambana na vitendo hivyo ili kufikia malengo ya kukusanya zaidi ya Sh800 bilioni mwaka 2024/25. Tuzo hiyo imetolewa na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu  Uchumi Zanzibar (Zaeca), ikiwa ni kutambua mchango wa ZRA katika…

Read More

Chonji, wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewahukumu kifungo cha maisha jela washtakiwa watano baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya aina za heroini gramu 5,309.57 na kokeni zenye uzito wa gramu 894.28. Hukumu imetolewa Julai 11, 2024 na Jaji Awamu Mbagwa, aliyesikiliza kesi hiyo ya jinai namba 58/2023. Waliohukumiwa…

Read More

AKIRI KUUA WANAWAKE 42 KENYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Polisi nchini Kenya wamemkamata mwanaume mmoja anayefahamika kama Jomaisi Khalisia (33) ambaye wanadai amekiri kuwaua wanawake 42 tangu 2022, akiwemo mkewe .   Msako wa mtuhumiwa huyo ulianza baada ya mauaji ya kutisha ya wanawake tisa ambao miili yao iliyokatwakatwa ilipatikana kwenye machimbo ambayo yanatumika kama jalala.   Mshukiwa amekamatwa katika baa mapema Jumatatu…

Read More

TCU yafungua dirisha udahili masomo elimu ya juu

Dar es Salaam. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufunguliwa kwa dirisha la kwanza la udahili kuanzia Julai 15 hadi Agosti 10, 2024, ikiwataka wahitimu kuomba moja kwa moja kwenye vyuo wanavyopendelea. Tangazo hilo linawahusu jumla ya wahitimu 111,056 waliofaulu mtihani wa kidato cha sita mwaka 2024 pamoja na wenye stashahada na wengine wenye…

Read More

Rc Malima ataka wanawake wakiislam kuwa mfano kwenye jamii

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amewataka wanawake wa Kiislam Mkoa wa Morogoro kuwa na mfano bora katika Jamii kwa kutenda matendo mema pamoja na malezi bora kwa watoto. Rc Malima ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la Wanawake wa Waislam Mkoa Morogoro lililofanyika katika Msikiti mkuu wa ijumaa Bomaroad uliopo.mjini Morogoro. Malima amesema…

Read More