Masaibu ya kisheria ukiishi kama kimada

Mwanza. Gladness Mujinja, aliyeishi na Sospeter Makene kama mume na mke kwa miaka 17, amepoteza haki ya mgawanyo wa mali walizochuma kwa miaka 17 baada ya Mahakama kutamka ndoa yao ilikuwa batili, kwani aliishi kama kimada. Hayo yamo katika hukumu ya Mahakama ya Rufani Tanzania katika rufaa iliyokatwa na Makene dhidi ya Gladness, akipinga mahakama…

Read More

Banda aisikilizia Richards Bay | Mwanaspoti

BEKI Abdi Banda licha ya timu aliyoichezea msimu ulioisha Richards Bay kumpa nafasi ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumalizika wa awali, bado akili yake inawaza kusaka changamoto mpya. Katika mahojiano yake na Mwanaspoti, Banda alisema timu ya Richards Bay inasubiri uamuzi wake, lakini anajipa nafasi ya kuwaza zaidi changamoto mpya katika timu…

Read More

Mbunge Gairo ataka wananchi Kuunga Mkono Serikali

Mbunge wa jimbo la Gairo Shabiby amesema kuwa kukamilika kwa shule mpya ya Sekondari Amali kutaleta tija ya kukuza maendeleo kwenye sekta elimu ya katika Kata hiyo Akizungumza katika mkutano maalumu wa uzinduzi wa utekelezaji wa miradi jimboni humo amesema kuwa zaidi ya Bilioni moja na milioni 600 (Bil 1.6) zimetolewa ili kuhakikisha shule hiyo…

Read More

Trump asimulia alivyookolewa na FBI, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI). Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa…

Read More

Farid amkabidhi Chama namba 17, Mkude achukua 20

IMEFICHUKA kwamba, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama, msimu ujao atavaa jezi namba 17 ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kutua katika timu hiyo akitokea Simba, huku Jonas Mkude naye akichukua namba 20. Chama ambaye amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Simba kumalizika, amekabidhiwa jezi hiyo na Farid Mussa. Taarifa…

Read More

Jafo akutana na sekta binafsi, wazungumza

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo aheihakikishia sekta binafsi ya Tanzania kuwa atakua mtetezi wa kwanza ilikuhakikisha ushindani wa sekta ya viwanda na biashara za kada tofauti. Mhe. Dkt. Jafo amesema “Mimi Jafo nitakua mtetezi wenu wa kwanza kuhakikisha mnafanya vizuri, hatuwezi kujenga uchumi wa Nchi kama ninyi (sekta binafsi) hamfanyi vizuri”….

Read More

Urusi kuifaidisha Tanzania na kukuza ushirikiano wa kibiashara

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni ,Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewaalika wawekezaji kutoka nchini russia wafanyabiashara na sekta binafsi ya Urusi kuja kuchangamkia fursa nyingi ambazo bado hazijatumika Tanzania ikiwemo gesi. Akifungua mkutano baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na Russia kwenye kongamano la kibiashara ambalo limepewa jina Russia Day(Siku ya Russia).alisema kuna maeneo mengi…

Read More

REA KUPELEKA UMEME VIJIJI 151 AMBAVYO HAVIJAFIKIWA NA TANESCO.

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imesema wanaendelea kusambaza nishati vijijini ambapo vijiji 151 ambavyo havijafungwa umeme Tanzania Bara, vinatarajiwa kukamilika kabla ya Septemba mwaka huu huku Vijiji vilivyosalia vikiwa kwa wakandarasi kwaajili ya kukamilishwa ikiwa ni kati ya vijiji 12,318 vilivyopo nchini na kati ya hivyo 12,167 zimeshafungwa umeme. Hayo yamesemwa Julai 13,2024 Jijini Dar…

Read More