
MADINI NI MAISHA NA UTAJIRI – MWANAHARAKATI MZALENDO
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limetoa elimu kwa Umma namna litekeleza Vision 2030 Madini ni Maisha na Utajiri yenye lengo la kufanya utafiti wa madini wa kina kwa asilimia 50 ya nchi nzima ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO , Dkt. Venance Mwasse wakati ametembelea Maonesho ya 48 ya Biashara…