Mbowe: Miradi ya maendeleo kwa wananchi si hisani

Dar/Siha. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuacha kutukuza miradi ya maendeleo wanayojengewa na Serikali kwa  kuwa ni wajibu wao na si hisani. Mbowe ametoa kauli hiyo leo Julai 14, 2024 alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Nasai wilayani Siha, Mkoa wa Kilimanjaro. Mbowe alionekana kukerwa na kitendo…

Read More

'Kuweni viongozi na kuhamasisha' naibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ahimiza, wakati tarehe ya mwisho ya 2030 inakaribia – Masuala ya Ulimwenguni

The Tukio Maalum yenye haki Kuweka Ahadi ya SDG: Njia za Kuongeza Kasi inafanyika kando ya Jukwaa la Kisiasa la Ngazi ya Juu (HLPF) sasa inaendelea, yenye lengo la kurejesha SDGs kwenye mstari na bila kuacha nchi nyuma. Itatoa msukumo kwa kile kinachoitwa “Mipango ya Athari ya Juu” inayosimamiwa na mfumo mzima wa maendeleo wa…

Read More

MTANDA AKEMEA KAMATI ZA SIASA NA MA-DC ,UPAMBE KWA WAGOMBEA

NA BALTAZAR MASHAKA,ILEMELA . MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza,Said Mtanda amewataka wajumbe wa kamati za siasa wakiwemo wakuu wa wilaya(Ma-DC),wasiwe wapambe wa watu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Pia watumishi wa umma waweke taswira nzuri ya CCM na serikali kwa wananchi kwani kuchukiwa kwa…

Read More

NONGA: Nilicheza nikiwa na msiba wa baba

WAKATI mwingine ni ngumu kuamini, lakini ndivyo ukweli ulivyo. Kuna watu huwa wanakumbwa na majanga, lakini kwa sababu maalumu, hufichwa kwanza ili kutekeleza jambo, kisha huja kuambiwa baadae. Hivi ndivyo ilivyowahi kumkumba nyota wa zamani wa JKT Oljoro, Mbeya City, Yanga, Mwadui, Lipuli na Gwambina, Paul Nonga ‘Mtumishi’. Nonga aliyestaafishwa kwa lazima kucheza soka licha…

Read More

Arusha wakiwasha Lina PG Tour

WACHEZAJI wa Gofu wa Jiji la Arusha wameibuka vinara kwa kutwaa tuzo nyingi kwenye raundi ya tatu ya michuano ya Lina PG Tour kwa wa kulipwa na ridhaa. Elisante Lembris na Nuru Mollel walishika nafasi ya kwanza na ya pili mtawalia wakiwaacha wapinzani wao zaidi ya mikwaju 15. “Sikucheza vizuri katika raundi mbili za awali,…

Read More

Uchaguzi, amani vyasisitizwa maadhimisho miaka 85 ya TAG

Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa Tanzania Assemblies Of God (TAG) wameadhimisha miaka 85 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo, huku wakisisitizwa kulinda amani na kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa baadaye mwaka huu. Ibada ya maadhimisho hayo imefanyika leo Jumapili, Julai 14, 2024 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini hapa, ikihudhuriwa na maelfu ya…

Read More

Kikapu Mbeya visingizio kibao Taifa Cup

TIMU ya mchezo wa Kikapu ya Wanawake Mkoa wa Mbeya imesema kuwakosa baadhi ya nyota wake, kucheza pungufu na kuwatumia wachezaji wasio na uzoefu ndio iliwapa wakati mgumu kutofikia malengo. Timu hiyo ambayo ndio iliwakilisha mkoa huo baada ya wanaume kushindwa kushiriki kwa madai ya ukata, iliishia nusu fainali kwa kufungwa na Mara ambao walitwaa…

Read More