SHILINGI BILIONI 4.4 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA DKT SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI RUVUMA

Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 4.4 kwa ajili ya kujenga shule ya Sekondari ya wasichana yenye michepuo ya masomo ya Sayansi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Shule hiyo imepewa jina la Dkt Samia Suluhu Hassan,imepangiwa kuchukua wanafunzi 610 wakiwemo wa kidato cha kwanza(138)kidato cha tano(265) na wanafunzi wa kidato cha sita(210)kwa mwaka wa masomo 2024. Mkuu…

Read More

Baada ya miaka 17, aliyedai talaka aambulia patupu

Mwanza. Gladness Mujinja, aliyeishi na Sospeter Makene kama mume na mke kwa miaka 17, amepoteza haki ya mgawanyo wa mali walizochuma kwa miaka 17 baada ya Mahakama kutamka ndoa yao ilikuwa batili, kwani aliishi kama kimada. Hayo yamo katika hukumu ya Mahakama ya Rufani Tanzania katika rufaa iliyokatwa na Makene dhidi ya Gladness, akipinga mahakama…

Read More

Uwekezaji ulivyobadili Bandari ya Malindi

Unguja. Baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuingia makubaliano na kampuni ya kuendesha Bandari ya Malindi, imeanika mafanikio yaliyopatikana ndani ya kipindi cha miezi tisa. Katika mafanikio hayo, asilimia 16 ni ongezeko la ushushaji wa mizigo na mapato kwa asilimia 17. Septemba 18, 2023, SMZ kupitia Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC), iliingia makubaliano…

Read More

Utata polisi ikimsaka anayedaiwa kupotea Dar

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likitangaza kufuatilia taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea Adinani Hussein Mbezi (32), mkewe Pendo Simon anadai anashikiliwa na jeshi hilo. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, Adinani maarufu Adam, mkazi wa Kinyerezi, Mtaa wa Faru alipotea Septemba 12,…

Read More

Rais Biden alaani shambulio la Trump

Washington. Rais Joe Biden amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump kwenye mkutano wa hadhara,  akisema kuwa  hakuna nafasi ya ghasia za kisiasa nchini Marekani “Huu ni ugonjwa,” amesema. “Hatuwezi kuruhusu hili litokee. Hatuwezi kuunga mkono hili.” Biden amesema alijaribu kumpigia Trump, lakini alikuwa na madaktari wake. “Inaonekana anaendelea vizuri,” amesema….

Read More

Biashara za Sh3.6 bilioni zafanyika Sabasaba

Dar es Salaam. Masoko mapya tisa ya bidhaa za Tanzania yamepatikana kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), wakati biashara ya zaidi ya Sh3.75 bilioni ikifanyika ndani ya siku 16. Miongoni mwa nchi zilizoonyesha nia ya kununua bidhaa hizo ni Afrika Kusini, Uturuki, Saudi Arabia na Malawi. Kufuatia hilo Rais wa…

Read More

Makalla; Takwimu za maji Dar ziakisi uhalisia wa huduma

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ameelekeza zinapotajwa  takwimu za upatikanaji wa maji Mkoa wa Dar es Salaam, ziakisi uhalisia wa upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi. Sambamba na hilo, amesisitiza kila mwananchi katika mkoa huo anaposikia takwimu za upatikanaji wa maji, ajione ni sehemu ya…

Read More