Kagame: Mara ya kwanza niliipata nafasi ya urais kama ajali

Kigali. Mwenyekiti wa Chama cha RPF Inkotanyi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema kwa mara ya kwanza, nafasi ya urais aliipata kama ajali tu, huku akiwataka wote wanaouliza maswali kuhusu mrithi wake, waliache suala hilo mikononi mwa Wanyarwanda wenyewe. Kagame  anayegombea kiti cha urais kwa mara ya nne mfululizo, ameyasema hayo Jumamosi Julai 13,…

Read More

Gofu na Simba? Serengeti wana jibu

SIO rahisi kuelezea msisimko ambao mcheza gofu ataupata wakati akicheza gofu huku akipishana na makundi ya Simba, Chui au Twiga. Jibu sahihi litakuwa katika uwanja wa kisasa wa gofu unaoendelea kujengwa katika mbuga za Serengeti na kazi ya kuutengeneza imefikia zaidi ya asilimia 40 sasa, ikiwa ni moja ya mikakati ya ubunifu ya kuboresha michezo…

Read More

Bilioni 3.4 kujenga kiwanda cha parachichi Nyololo

Iringa. Zaidi ya Sh3.4 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda kipya cha parachichi katika eneo la Nyololo, Wilayani Mufindi ili kusaidia uchakataji wa zao hilo kabla ya kufika sokoni. Ujenzi wa kiwanda hicho utaongeza fursa za kiuchumi kwa wakulima wa parachichi, ambao kwa sasa wamekuwa wakitegemea wanunuzi binafsi huku baadhi wakilalamika bei…

Read More

Sh2 bilioni zailiza Mbeya City

MAUMIVU ya kushuka daraja kwa Mbeya yameanza kuuma baada ya uongozi kukiri kupata hasara ya Sh1 bilioni kwa mwaka, huku ikiapa kuwa msimu ujao wa 2024/25 ndio mwisho wa kucheza Championship. City ilishuka daraja msimu wa 2022/23, ambapo msimu uliopita ilishindwa kupanda tena ilipomaliza katika nafasi ya sita kwa pointi 37 na sasa imeanza kujitafuta…

Read More

MKURUGENZI MKUU NIRC AWATAKA WAKANDARASI KUSAIDIA JAMII MAENEO YA MIRADI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi.   Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya umwagiliaji katika kata ya Mwamkulu wilayani Mpanda mkoani Katavi.   Katika ziara hiyo alikagua na kutoa…

Read More

Bashe: Mazao ya wakulima kuuzwa kidijitali

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mfumo ambao utawezesha ufuatiliaji wa moja kwa moja wa mazao yanayonunuliwa na Wakala wa Hifadhi wa chakula wa Taifa (NFRA), huku ukitajwa kuondoa kilio cha wakulima kudai kuibiwa. Mfumo huo wa kidijitali utamuwezesha mkulima kupata risiti ya mzigo wake kupitia simu ya mkononi, juu ya uzito wa mzigo husika…

Read More

RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA LATRA SABASABA

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ametembelea Jengo la LATRA lililopo kwenye Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Saba Saba na kushuhudia shughuli za Udhibiti Usafiri Ardhini zinavyofanywa na LATRA. Akitoa maelezo katika jengo la LATRA, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano LATRA, Bw. Salum…

Read More