Usafiri wa boti Bagamoyo – Zanzibar wanukia

Bagamoyo. Huenda changamoto ya usafiri kwa wakazi wa Bagamoyo, Chalinze, Kibaha na mikoa ya jirani kulazimika kupitia Dar es Salaam pale wanapotaka kwenda visiwani Zanzibar, ikafikia ukomo hivi karibuni. Kufikia ukomo huko kunatokana na uwepo wa maandalizi ya ujenzi wa gati litakalotumika katika safari hizo kwenye bandari ya Bagamoyo. Akizungumza na Mwananchi jana Julai 12,…

Read More

TAHADHARI ZA KUCHUKUA MJAMZITO KABLA YA KULA PAPAI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mjamzito anaweza kula Papai katika kipindi chote cha Ujauzito bila kupata Madhara yoyote au Mimba yake kuharibika, endapo atafuata tahadhari husika kabla ya kula Tunda hili la Papai.   Kumekuwa na Usemi kwamba Mjamzito haruhusiwi kabisa kula Papai katika Kipindi cha Ujauzito, eti kwa sababu linaweza kusababisha Mimba kuharibika au Kujifungua Mtoto kabla ya…

Read More

Bashe: Mazao ya wakulima kuuzwa kidijitaji

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mfumo ambao utawezesha ufuatiliaji wa moja kwa moja wa mazao yanayonunuliwa na Wakala wa Hifadhi wa chakula wa Taifa (NFRA), huku ukitajwa kuondoa kilio cha wakulima kudai kuibiwa. Mfumo huo wa kidijitali utamuwezesha mkulima kupata risiti ya mzigo wake kupitia simu ya mkononi, juu ya uzito wa mzigo husika…

Read More

TGDC Yatumia Siku 16 Kutoa Elimu ya Jotoardhi Sabasaba 2024

  Na Mwandishi Wetu Tangu juni 28, 2024 Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) iliweka kambi katika viwanja vya Mwl.Julius Nyerere na kushiriki Maonesho ya 48 ya Biashabara ya Kimataifa Dar es Salaam maarufu Sabasaba yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TanTrade kila ifikapo tarehe 28 Juni hadi 13 Juni ya kila mwaka….

Read More