Wananchi Sengerema wataka ujenzi wa vivuko uharakishwe

Mwanza. Wananchi katika Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wameiomba Serikali kuharakisha malipo ya ujenzi wa vivuko vya Kome III na Kivuko cha Buyangu Mbalika ili vikamilike na kutoa huduma kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Julai 12, 2024 baada ya viongozi na wananchi waliotembelea maendeleo ya ujenzi wa vivuko vinavyotengenezwa na Kampuni ya Songoro…

Read More

RAIS SAMIA AITAKA WIZARA YA NISHATI KUHAKIKISHA KATAVI INAPATA UMEME WA GRIDI IFIKAPO SEPTEMBA

-Akagua njia ya umeme Tabora – Katavi na Kituo cha Inyonga-Aitaka TANESCO kuongeza kasi ya kuunganisha Wateja miradi inapokamilika -Asisitiza watanzania kutumia nishati ya umeme kujiendeleza kiuchumi Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha mradi wa njia kuu…

Read More

Sababu ya Waziri Jr kuifunga Simba hii hapa

KUIPAMBANIA ndoto si kazi nyepesi. Njiani kuna uwezekano wa kukutana na milima na mabonde, lakini jambo la msingi ni kuamini siku ya kicheko inakuja, kama anavyosimulia mshambuliaji Waziri Junior jinsi ambavyo aliwahi kupata uchungu uliomfanya aweke nadhiri kwa Mungu. Junior anasema kila mchezaji ana historia ya alipotokea hadi kufikia hatua ya kujulikana mbele ya jamii,…

Read More

Samia azindua makao makuu ya Jeshi la Polisi Katavi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amezindua jengo jipya la Makao Makuu ya Jeshi la Polisi mkoani Katavi lililogharimu Sh1.4 bilioni, huku akiagiza litunzwe ili lidumu. Samia amefungua jengo hilo leo, Jumapili ya Julai 14, 2024 ikiwa ni siku ya pili ya mwendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo aliyoianza Julai 12 na…

Read More