Talaka zinavyoathiri wanawake kumiliki ardhi Pwani-4

Katika toleo lililopita tuliangazia jinsi migogoro ya ardhi inavyoongezeka kutokana na mkanganyiko wa sheria na mianya katika usimamizi wa ardhi, huku wataalamu wakipendekeza marekebisho ya sheria na elimu ya kisheria kwa wananchi ili kupunguza migogoro hiyo. Endelea.. Kuvunjika kwa ndoa ni miongoni mwa changamoto inayotajwa kuchochea wanawake kukosa haki ya kumiliki ardhi nchini, hususani katika Mkoa…

Read More

Kijana wa miaka 20 adaiwa kuhusika shambulio la Trump, auawa

Pennsylvania. Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limedai aliyehusika na shambulio la risasi kwa mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump ni kijana mwenye umri wa miaka 20. FBI ambayo imesema uchunguzi bado unaendelea, umemtaja kijana huyo kwa jina la Thomas Matthew Crooks. “Alitoka Bethel Park huko Pennsylvania eneo ambalo jaribio la mauaji lilitokea….

Read More

Francois Regis atajwa kuwa CEO mpya Simba

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao. Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri wa miaka…

Read More

CEO MPYA WA SIMBA HUYU HAPA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Uongozi wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao.   Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri…

Read More