Wakili Kitale apingwa kesi dhidi ya TLS, uamuzi Agosti 9

Mwanza. Mvutano wa kisheria umeendelea kuibuka katika shauri lililofunguliwa na Wakili Steven Kitale katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya mjibu maombi wa nne, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kuwasilisha pingamizi likiwa na hoja mbili. Wajibu maombi katika shauri hilo namba 17558/2024, lililoitwa mahakamani leo Jumanne Julai 30, 2024 kwa ajili ya kusikilizwa ni…

Read More

Rais Samia kubisha hodi Morogoro

Morogoro. Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kufanya ziara ya siku sita mkoani hapa na atapata fursa ya kuzungumza na wananchi na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Julai 30, 2024 ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amesema ziara hiyo itaanza Agosti 2 na ataikamilisha…

Read More

Meli iliyobeba magari 300 yatia nanga Bandari ya Tanga

Tanga. Meli ya mizigo ya Kampuni ya Seefront Shipping Service Limited yenye uzito wa tani 14,000 iliyobeba magari 300 ya wafanyabiashara wa nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Zambia, Burundi, na Rwanda imetia nanga katika Bandari ya Tanga baada ya Serikali kuiboresha bandari hiyo. Akizungumza baada ya kuwasili kwa meli hiyo, Naibu Waziri…

Read More

JUBILEE WAZINDUA BIDHAA YA FBIZ KUWAFIKIA WAFANYA KAZI WALIOKO KATIKA KAMPUNI NDOGONDOGO

    Na Said Mwishehe, Michuzi TV KAMPUNI ya Jubilee Insurance imezindua huduma ya  bima ya FBiz  itakayokuwa ikihudumia wafanyakazi walioko katika Kampuni ndogo ndogo zenye wafanyakazi kuanzia watatu mpaka 15,lengo kuu la bidhaa hiyo ni kuwafikia wafanyakazi hao ambao wamekuwa wakihitaji kupata huduma za Kampuni hiyo. Akizungumza leo Julai 29,2024 jijini Dar es Salaam…

Read More

Kumrithi Kinana CCM, wanne watajwa

Dar es Salaam. Nani mrithi wa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara? Hili ndilo swali linaloulizwa na wengi baada ya aliyekuwa na wadhifa huo, Abdulrahman Kinana kujiuzulu. Taarifa ya kujiuzulu kwa Kinana ilitolewa juzi na CCM, ikinukuu sehemu ya barua ya Rais Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa chama hicho, akijibu “kukubali…

Read More

Bima ya Afya ya Jubilee yaanzisha huduma kwa vikundi vidogo

Dar es Salaam. Kampuni ya Bima ya Afya ya Jubilee, imeanzisha huduma ya afya kwa wafanyabiashara na vikundi vidogo vidogo. Huduma hiyo ijulikanayo kama FBiZ imezinduliwa leo Jumanne Julai 30, 2024 jijini Dar es Salaam ikitoa fursa kwa watu kuanzia watatu kujisajili kupata huduma ya afya. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja Uendeshaji wa Bima…

Read More

ZIARA YA BALOZI NCHIMBI YAFYEKA ACT, CUF NA CHADEMA KUSINI

Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT Wazalendo, CUF na Chadema walioamua kujiunga CCM leo, wakisindikizwa na mamia ya wanachama waliorejesha kadi zao za vyama vya zamani kwa kasi kubwa…

Read More