Hapa kazi ipo | Mwanaspoti

UKISIKIA mtego ndio huu uliofanywa na mabilionea wa Simba na Yanga. Ndio, Yanga imesajili majembe ya maana kwa gharama kubwa ili kuimarisha kikosi. Bilionea Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ kupitia uongozi wa klabu hiyo, amemsajili Clatous Chama kutoka Simba, amemvuta Prince Dube kutoka Azam kwa gharama kubwa. Amemleta Chadrak Boka kutoka DR Congo. Amembakisha Stephane Aziz…

Read More

Sokwe  hifadhi ya Gombe watajwa kupungua

Dar es Salaam. Idadi ya sokwe katika Hifadhi ya Taifa Gombe imetajwa kupungua kutoka 150 hadi 85, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo milipuko ya magonjwa na shughuli za kibinadamu zinazofanyika kwenye hifadhi hiyo. Kuelekea siku ya Sokwe duniani inayoadhimishwa Julai 14, kila mwaka, watafiti kutoka Taasisi ya Dk Jane Goodall (JDI) wameshauri kulindwa kwa mnyama…

Read More

RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TTCL MAONESHO YA SABASABA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo leo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi leo na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar…

Read More

Aussems atuliza presha Singida BS

SINGIDA Black Stars imekuwa timu ya kwanza ya Tanzania kuaga michuano ya Kombe la Kagame 2024 inayoendelea jijini Dar es Salaam baada ya juzi jioni kuchapwa tena mabao 3-1 na SC Villa ya Uganda siku chache tangu iliponyukwa 1-0 na APR ya Rwanda, lakini hilo halijamshtua Kocha Patrick Aussems. Kocha huyo wa zamani wa Simba,…

Read More

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 14.07.2024

Manchester City wamepokea dau la pauni milioni 25 kutoka kwa Saudi Pro League kwa ajili ya mlinda mlango wa Brazil Ederson mwenye umri wa miaka 30. (HITC) Manchester United wanataka kumuuza mlinzi wa Uswidi Victor Lindelof, 29, msimu huu wa joto na pia watasikiliza ofa kwa ajili ya kiungo wa kati wa Denmark Christian Eriksen,…

Read More

Washirika wa NATO waahidi mshikamano zaidi na Ukraine – DW – 12.07.2024

Biden alitumia jukwaa hilo kujaribu kuwashawishi Wamarekani kwamba bado anaweza kuwaongoza. Kwenye NATO bado viongozi wenzake, wanamuamini, japo wakati mwingine kwa shakashaka. Kile wasichopenda kukishuhudia ni Donald Trump kurudi madarakani. Hata kile cha kukosea majina wakati akiufunga mkutano huo, kama aliposema “Putin” badala ya “Zelensky” ama “Trump” badala ya “Kamala Harris”, hakikuchukuliwa na viongozi wenzake kama…

Read More

Aliyekuwa dada wa kazi apasua kidato cha sita

Dar es Salaam. “Ndoto yangu inaenda kutimia ila nimejifunza kwenye maisha heshimu kila mtu, kwa kwa kuwa inawezekana hatima yako imeshikiliwa na mtu usiyemfahamu kabisa”. Haya ni maneno ya Mariam Mchiwa mhitimu wa kidato cha sita katika sekondari ya wasichana Songea akiwa miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani huo yaliyotangazwa leo na…

Read More