Mapigano makali yaendelea kuripotiwa Gaza – DW – 12.07.2024

Mapigano makali na mashambulizi ya mabomu yameripotiwa katika mji wa Gaza na maeneo mengine ya ardhi ya Wapalestina leo Ijumaa huku wapatanishi wakiendelea na juhudi za kusitisha vita vinavyoendelea. Shirika la ulinzi wa raia katika eneo linaloendeshwa na Hamas huko Gaza limesema kwamba takriban miili 40 imepatikana katika juhudi za awali kutafuta raia katika wilaya…

Read More

Mbowe aeleza alivyoasisi shule za kata Kilimanjaro

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema yeye ndiye aliyeanzisha ujenzi wa shule za sekondari za kata nchini, zikianzia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, alikokuwa mbunge kwa mara ya kwanza kati ya mwaka 2000 hadi 2005. Ujenzi wa shule hizo ulishika kasi katika awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete baada ya ongezeko la…

Read More

DC KIBAHA ATOA MAELEKEZO KWA WADAU WA MAJI KUHUSU UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU YA MAJI

Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mhe. Nickson Simon ametoa maelekezo kwa wadau wa maji kuhakikisha wanasimamia utunzaji wa miundombinu ya maji ambayo imejengwa na Serikali kuondoa Changamoto ya upatikanaji wa maji. Saimon amesema kwa asilimia kubwa Serikali imeshakamilisha ujenzi wa miundombinu ya maji hivyo jukumu lililobaki ni wananchi kutunza na kuilinda miundombinu hiyo isiharibike. Mkuu…

Read More

Yanga yampa miwili beki Mkenya

YANGA inaendelea kushusha vyuma na safari hii imetua kwa beki wa kati raia wa Kenya, Anitha Adongo kwa ajili ya msimu ujao. Hadi sasa Yanga Princess inayoshiriki Ligi ya Wanawake (WPL) inahusishwa kumalizana na wachezaji wanne wa kigeni akiwemo Danai Bhobho kutoka kwa watani zao, Simba Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Rafiki wa karibu wa mchezaji…

Read More

Wanawake watajwa kuwa mstari wa mbele kupinga ukatili wa kijinsia

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mgeni Hassan Juma, amesema wanawake wamekuwa mabalozi wa kupinga ukatili wa kijinsia na kuchangamkia fursa za kiuchumi ili kuendeleza kipato chao. Alitoa kauli hiyo leo, Julai 12, wakati akifungua Jukwaa la Wanawake Viongozi katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa. “Wanawake wanapambana…

Read More

Ujerumani yalia na njama ya kumuua mkuu wa kampuni ya silaha – DW – 12.07.2024

Kikinukuu maafisa wa Marekani na magharibi ambao haikuwataja majina, kituo cha televisheni cha CNN kiliripoti kuwa Marekani iliiarifu Ujerumani kuwa serikali ya Urusi ilikuwa na mpango wa kumuuwa Armin Papperger, mkuu wa kampuni ya silaha ya Rheinmetall. Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz alikataa kutoa ufafanuzi kuhusu ripoti hiyo baada ya kuulizwa na waandishi wa habari wakati…

Read More

Kesi ya ukahaba yaibua mapya, hakimu kuwashtaki waendesha mashtaka

Dar es Salaam. Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Sokoine Drive, Dar es Salaam, Lugano-Rachae Kasebele amewashtaki Mahakama Kuu, waendesha mashtaka katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano, baada ya kuidharau mahakama hiyo kwa kushindwa kutekeleza amri alizotoa kwao. Hakimu Kasebele amefikia hatua hiyo baada ya amri mbili alizotoa Julai 8,2024 dhidi ya upande wa…

Read More