RAIS DKT. SAMIA AIPA HONGERA NSSF

Na MWANDISHI WETU. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kuelezwa mafanikio mbalimbali ambayo NSSF imeyapata katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake. Pongezi hizo zimetolewa tarehe 13 Julai, 2024 wakati alipotembelea banda la NSSF kwenye…

Read More

MTU WA MPIRA: Simba msichonge sana, subirini kwanza ligi ianze

USAJILI wakati mwingine ni kama kamari. Unaweza kupatia. Pia unaweza kukosea. Ni ngumu kubetia usajili utakliki moja kwa moja. Hutokea mara chache sajili zikabamba. Ilitokea kwa Emmanuel Okwi alipotua Simba mara ya kwanza na hata alipokuwa akija na kuondoka. Lakini alichemka aliposajiliwa Yanga. Kuna Kipre Tchetche alipotua Azam. Usajili wake ulikuwa na maana kubwa. Azam…

Read More

GOLDEN WOMEN WASHAURIWA KUENDELEA KUWAFIKIA WAHITAJI

Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Fedha , Bi. Jenifa Christian Omolo (wapili kulia), akizungumza na baadhi ya Watoto, Frolentina Aloyse (watatu kulia) na Sharifa Sungura (wanne kulia), wanaolelewa katika Kituo cha Huduma cha SAFAAD, kilichopo Chamwino mkoani Dodoma baada ya kutembelea kituo hicho. Na: Josephine Majura na Asia Singano WF, Dodoma.   Umoja wa Wanawake wa…

Read More

Vodacom yatangaza washindi wa msimu wa 3 wa Vodacom Digital Accelerator

  VODACOM Tanzania Plc leo imetangaza Wajasiriamali chipukizi (Startup) zilizoibuka vinara wakati wa kuhitimisha msimu wa tatu wa Programu yake ya Vodacom Digital Accelerator ijulikanayo kama Demo Day. Tukio hilo limeshuhudia mafanikio ya kipekee likiwa na washindi saba baada ya kukamilisha mafunzo ya uwezeshaji kwa muda wa miezi mitatu ambapo hatimaye wamepatikana washindi watatu. Anaripoti…

Read More

ALIYEKUWA KATIBU WA CCM AHAMIA CUF – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amempokea aliyewahi kuwa Katibu msaidizi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Othman Dunga.   Profesa Lipumba amemkaribisha leo Julai 13, 2024 wilayani Kondoa akiwa kwenye mkutano wa hadhara uliojumuisha viongozi wote wa kitaifa wa chama hicho.   Amevitaka vyama vya siasa wilayani hapo…

Read More

Huawei and Vodacom Empower Tanzania Startups with Transformative Learning Tour

By Our Correspondent Huawei, in partnership with Vodacom, has successfully concluded a week-long exchange learning program for seven promising Tanzanian startups. This initiative, part of the Vodacom Digital Accelerator Program, is aimed at fostering innovation and entrepreneurship in the country by providing opportunities for startups to learn from global leaders in the tech industry. Group…

Read More

Wasio na makazi wanavyolala Dar

Dar es Salaam. “Sikuwahi kufikiria kukosa makazi na kulala nje, lakini imenibidi kutokana na hali iliyonikuta, hadi leo nawalaani mgambo, ndiyo chanzo cha kuharibika maisha yangu na kuanza kulala hapa nilipo.” Hiyo ni kauli ya Rashida Omari (45), mzaliwa wa Kigoma ambaye kwa sasa analala kibarazani, kwenye ghorofa lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Bibi…

Read More

KAMPUNI YA KILOMBERO SUGAR NA KAMPUNI TANZU ZA ILLOVO SUGAR AFRICA, ZAUNGANA KUPITIA KAMPENI YAO YA ‘KILIMANJARO EXPEDITIONS’ KUKABIDHI TAULO ZA KIKE 2400 KATIKA SHULE YA SEKONDARI MIERESINI.

Kampuni ya Kilombero Sugar na Kampuni tanzu za Illovo Sugar Africa, zimeungana kupitia Kampeni yao ya Kilimanjaro Expeditions kukabidhi taulo za kike 2400 katika shule ya Sekondari Mieresini kabla ya kuelekea kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro. Kampeni hiyo itahusisha wapanda mlima 17 kutoka nchi 8 tofauti zilizopo chini ya ABF Sugar Group ambapo wafanyakazi hao…

Read More

Vital’O yapata pigo, Yanga ishindwe yenyewe

HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya wapinzani wao kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Vital’O kuzuiwa kutumia uwanja wao wa nyumbani wa Intwali uliopo Bujumbura, Burundi. Ukaguzi uliofanywa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) umebaini kuwa uwanja huo wa Intwali hauna sifa za kutumika kwa mashindano ya…

Read More