WANANCHI MKALAMA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ndugu Godfrey Mzava amewataka wananchi wilayani Mkalama kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba 2024.   Wito huo ameutoa Julai 10,2024 mara baada ya kumaliza kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la Msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serikali wilayani…

Read More

Meridianbet yatinga Kawe, yamwaga msaada Zahanati

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet leo imefunga safari kuelekea Kawe jijini Dar-es-salaam kwenye Zahanati inayopatikana sehemu hiyo na kufanikiwa kutoa msaada katika Zahanati hiyo. Meridianbet imekua ikijitahidi kuhakikisha wanaigusa jamii inayowazunguka mara kwa mara haswa wale wenye uhitaji, Hivo leo sehemu yenye uhitaji leo imekua ni Zahanati hiyo inayopatikana katika eneo la…

Read More

TTCL yasambaza Mkongo wa Taifa mikoa yote nchini

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema hadi sasa limesambaza Mkongo wa Taifa katika mikoa yote nchini, ambapo zaidi ya wilaya 98 zimeunganishwa na mkongo huo wa mawasiliano. Juhudi hizi zinalenga kuhakikisha huduma za elimu, afya, na maendeleo ya kiuchumi zinapatikana kidigitali katika maeneo yote nchini. Akizungumza leo, Julai 12, 2024,…

Read More

Matokeo kidato cha sita 2024 haya hapa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2024, leo Jumamosi Julai 13, 2024 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar. Jumla ya watahiniwa 113,504 walifanya mtihani wa kidato cha sita, mwaka huu ambapo ulifanyika kwenye jumla ya shule 931 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 258. Katibu Mtendaji…

Read More

Yanga, Simba zapewa ubingwa Afrika

Dar es Salaam. Makocha na nyota wa zamani wa soka nchini wamezitabiria makubwa timu za Tanzania Bara zinazoshiriki mashindano ya klabu Afrika msimu ujao huku wakiamini zinaweza kutwaa ubingwa. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Tanzania itawakilishwa na Yanga na Azam wakati kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, wawakilishi ni Simba na Coastal Union. Kwa mujibu wa…

Read More