Watuhumiwa 23 wa utapeli wa ajira wadakwa Tabora

Tabora. Watu 23 ambao ni baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Alliance in Motion Global, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Tabora kwa tuhuma za kufanya udanganyifu kwa vijana zaidi ya 100 ambao walipigiwa simu kutoka mikoa ya Manyara, Arusha, Singida, Dodoma na Morogoro kwa lengo la kuwapatia ajira zenye mshahara mnono, badala yake…

Read More

PURA yaweka mikakati ya kuongeza wawekezaji

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Khalfan Khalfan amesema kuwa PURA itahakikisha inaongeza wawekezaji kwenye maeneo ambayo yako wazi ili kuongeza matumizi ya gesi asilia kwa viwandani na majumbani . Gesi asilia nyingi nchini hivyo kazi iliyopo ni kuendelea kushawishi wawekezaji katika kuja kuwekeza katika eneo…

Read More

Adha daraja lililokatika inavyoathiri wanafunzi Kilakala

Morogoro. Baada ya kuvunjika kwa daraja jirani na Shule ya Msingi Kilakala katika Manispaa ya Morogoro, ambayo inahudumia wanafunzi wenye mahitaji maalumu, usalama wa wanafunzi hao kwa sasa ni mdogo hasa wanapovuka kupitia daraja hilo. Wakati mwingine wanafunzi hao wanalazimika kuvuka kupitia korongo lenye maji kwa kupita juu ya mti uliovunjika ili kwenda upande wa…

Read More

Kibano daladala zinazokatisha njia mbioni

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) imeanza safari ya kutafuta suluhu ya mabasi ya abiria madogo ‘daladala’ nchini nzima yenye tabia ya kukatisha safari kwa kuanzisha Mfumo wa Kufuatilia Magari (VTD). Kuanzishwa kwa mfumo huo ni baada ya kuonyesha mafanikio kwa mabasi ya mikoani ambayo yamefungwa ikiwemo kupunguza mwendokasi wa mabasi….

Read More

Utafiti wabaini mwamko mdogo uandishi habari za umeme jua

Dar es Salaam. Licha ya juhudi zinazofanyika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa kila sekta, imebainika kuwapo mwamko mdogo wa wanahabari wa Afrika Mashariki kuripoti matumizi bora ya nishati ya umeme jua. Kwa mujibu wa ripoti ya utafiti kuhusu uchapishaji habari zinazohusu nishati ya umeme jua katika sekta ya…

Read More

Mzee wa Upako: Unakujaje kanisani bila sadaka?

Dar es Salaam. Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Center, Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amesema suala la waumini kutozwa fedha kwa ajili ya kufanyiwa maombi na viongozi wa makanisa ni makubaliano kwa sababu ni mambo ya imani. Amesema maandiko ya Biblia yameelekeza waumini kwenda kanisani na sadaka, hivyo haipaswi kwenda…

Read More

KINANA AWASHAURI VIONGOZI WA CCM KUZINGATIA MAADILI

Na Said Mwishehe,Mpanda MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Abdulrahman Kinana amewashauri viongozi wa Chama hicho katika ngazi mbalimbali kuzingatia maadili kwa kauli,vitendo na mwonekano. Kinana ameyaeleza hayo leo Julai 11,2024 wakati akifungua Kongamano la Maadili na Malezi lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki…

Read More

Mbowe ataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri

Moshi/Dar. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri kupigania hatima ya maisha yao badala ya kuwategemea viongozi wanaojali masilahi yao binafsi. Mbowe amesema hayo leo Alhamisi, Julai 11, 2024 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Soko la Manyema, mjini Moshi katika mwendelezo wa operesheni…

Read More