Tchakei kulamba dili jipya Singida

UONGOZI wa Singida Black Stars (zamani Ihefu), umeanza mazungumzo ya kumwongezea mkataba mpya kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Marouf Tchakei. Raia huyo wa Togo aliyejiunga na kikosi hicho Januari mwaka huu akitokea Singinda Fountain Gate aliyojiunga nayo kutokea AS Vita ya Congo, amekuwa na kiwango bora na msimu uliopita alifunga mabao tisa ya Ligi Kuu…

Read More

Hatua kwa hatua maandamano waliokatwa majina ugawaji vizimba Kariakoo

Dar es Salaam. Maandamano mengine ya wafanyabiashara yameibuka katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2024 wakilalamikia majina yao kukatwa katika orodha ya wanaopaswa kurejeshwa sokoni humo. Maandamano hayo yaliohusisha wafanyabiashara zaidi ya 800, yamelenga kuushinikiza uongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo kuingiza majina yao ili nao wawe sehemu ya watakaopewa…

Read More

KINANA AWASHAURI VIONGOZI CCM KUZINGATIA MAADILI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Abdulrahman akizungumza katika ufunguzi wa kongamano la malezi na maadili lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania, mjini Mpanda, Mkoa wa Katavi. (Picha na Fahad Siraj-CCM) Na Mwandishi Wetu   MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Abdulrahman Kinana amewasisitiza wananchi na viongozi mbalimbali hususan wanaotokana na Chama hicho…

Read More