Haya hapa mageuzi matano katika biashara Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inatarajia kushuhudia mageuzi matano katika sekta ya biashara ikiwemo kuongeza ushindani wa mauzo ya bidhaa nje ya nchi, Kuimarisha uwezeshaji na kurahisisha biashara. Mambo mengine yanayotarajiwa ni kuchochea uongezaji wa thamani ya kila bidhaa inayozalishwa nchini, kuimarisha uwezeshaji, kurahisisha biashara na kuimarisha ushirikiano na majirani. Hayo yamesemwa leo Jumanne Julai 29,…

Read More

Majaliwa aipongeza NBC kwa kuboresha sekta ya Afya nchini

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini kupitia huduma za kibenki pamoja program zake mbalimbali zinazolenga kuboresha sekta hiyo muhimu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Waziri Mkuu Majaliwa alitoa pongezi hizo mapema leo Jumanne alipotembelea banda la maonyesho…

Read More

Wananchi wa Gaza wanahitaji chanjo ya polio huku kukiwa na 'mzunguko wa vifo' wa njaa, joto na magonjwa, yanasema mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa – Global Issues

Takriban miezi 10 ya vita na mashambulizi makali ya Israel yamesambaratisha huduma ya afya huko Gaza na kuvuruga mzunguko wa kawaida wa chanjo kwa vijana, na kuwaacha wakiwa kwenye hatari ya magonjwa mbalimbali yanayoweza kuzuilika ikiwemo polio, ambayo Shirika la Afya Duniani la Umoja wa Mataifa.WHO) iliyothibitishwa ilitambuliwa mwezi uliopita katika sampuli kadhaa za maji…

Read More

RCO Tanga ashikilia dhamana ya kada wa Chadema

Dar es Salaam. Dhamana ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana imezuiwa. Kombo aliyepotea kwa takribani mwezi mzima kabla ya Jeshi la Polisi kutangaza ndilo linalomshikilia, alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga, Julai 16, 2024, saa 11.00 jioni na kusomewa mashtaka chini ya Sheria ya Mawasiliano ya…

Read More

Benki ya NBC Yashiriki Kongamano la Afya Dar Es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa Aguswa na Jitihada Zake Kuboresha Sekta ya Afya.

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini kupitia huduma za kibenki pamoja program zake mbalimbali zinazolenga kuboresha sekta hiyo muhimu. Waziri Mkuu Majaliwa alitoa pongezi hizo mapema leo alipotembelea banda la maonyesho ya huduma za benki hiyo mahususi kwa wadau wa sekta…

Read More

Dk. Tulia azindua PBZ Mbeya aonya mikopo ‘kausha damu’

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amezindua rasmi tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) mkoani Mbeya huku akiwaomba wananchi kutumia taasisi rasmi kupata huduma mbalimbali za kifedha hususani kipindi hiki ambacho Bunge kwa kushirikiana na serikali wanaandaa sera bora zaidi zitakazosimamia huduma ya fedha nchini. Anaripoti…

Read More

Kujiuzulu kwa Kinana, Wanaccm Lindi wafunguka

Lindi. Makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi wameeleza kusikitishwa na taarifa za kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara, Abdulrahman Kinana huku wakitumaini kumpata mrithi wake mwenye sifa na busara za kiuongozi kama yeye. Kinana alijiuzulu wadhifa huo jana Jumatatu Julai 29, 2024; huku taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu wa Itikadi,…

Read More

SERIKALI IMEIMARISHA NGUVU KAZI SEKTA YA AFYA

  Na WAF – Dar Es Salaam Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali imeimarisha nguvu kazi katika Sekta ya Afya kwa kuongeza taasisi zinazotoa mafunzo ya Afya na upatikanaji wa fursa za elimu ya juu kwa kada hiyo. Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa amesema hayo leo Julai 30, 2024…

Read More

Kilimahewa kupewa elimu namna ya utunzaji na matumizi sahihi ya fedha

Na Chedaiwe Msuya,WF-Mtwara Wafanyabiashara wametakiwa kujenga tabia ya kuweka akiba katika biashara zao ili kuhakikisha wanakuwa na maendeleo endelevu.  Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii, Ambros Ngwadakulima akizungumza  na Timu ya wataalamu ya Wizara ya Fedha na wataalamu kutoka Taasisi nyingine za Serikali ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA)…

Read More