Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 18
Habari

Haya hapa mageuzi matano katika biashara Tanzania

July 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania inatarajia kushuhudia mageuzi matano katika sekta ya biashara ikiwemo kuongeza ushindani wa mauzo ya bidhaa nje ya nchi, Kuimarisha uwezeshaji na

Read More
Habari

TAASISI YA BENJAMIN MKAPA IMEJIKITA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA RASILIMALI WATU

July 30, 2024 Admin

Taasisi ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na Serikali imejikita katika kutatua changamoto za rasilimali watu Sekta ya Afya kwa kuajiri watumishi wa mikataba na kuwapeleka

Read More
Habari

Majaliwa aipongeza NBC kwa kuboresha sekta ya Afya nchini

July 30, 2024 Admin

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini kupitia huduma za kibenki

Read More
Kimataifa

Wananchi wa Gaza wanahitaji chanjo ya polio huku kukiwa na 'mzunguko wa vifo' wa njaa, joto na magonjwa, yanasema mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa – Global Issues

July 30, 2024 Admin

Takriban miezi 10 ya vita na mashambulizi makali ya Israel yamesambaratisha huduma ya afya huko Gaza na kuvuruga mzunguko wa kawaida wa chanjo kwa vijana,

Read More
Habari

RCO Tanga ashikilia dhamana ya kada wa Chadema

July 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Dhamana ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana imezuiwa. Kombo aliyepotea kwa takribani mwezi mzima kabla

Read More
Habari

Benki ya NBC Yashiriki Kongamano la Afya Dar Es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa Aguswa na Jitihada Zake Kuboresha Sekta ya Afya.

July 30, 2024 Admin

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa amepongeza jitihada za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) katika kuendeleza sekta ya afya hapa nchini kupitia huduma za kibenki pamoja

Read More
Habari

Dk. Tulia azindua PBZ Mbeya aonya mikopo ‘kausha damu’

July 30, 2024 Admin

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amezindua rasmi tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) mkoani Mbeya

Read More
Habari

Kujiuzulu kwa Kinana, Wanaccm Lindi wafunguka

July 30, 2024 Admin

Lindi. Makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi wameeleza kusikitishwa na taarifa za kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara, Abdulrahman Kinana huku

Read More
Habari

SERIKALI IMEIMARISHA NGUVU KAZI SEKTA YA AFYA

July 30, 2024 Admin

  Na WAF – Dar Es Salaam Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali imeimarisha nguvu kazi katika Sekta

Read More
Habari

Kilimahewa kupewa elimu namna ya utunzaji na matumizi sahihi ya fedha

July 30, 2024 Admin

Na Chedaiwe Msuya,WF-Mtwara Wafanyabiashara wametakiwa kujenga tabia ya kuweka akiba katika biashara zao ili kuhakikisha wanakuwa na maendeleo endelevu.  Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii, Ambros

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 17 18 19 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.