Mgunda afichua siri usajili Simba

ALIYEKUWA kaimu kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amefichua siri za usajili mpya wa klabu hiyo iliyopo kambini Ismailia, Misri na kuupongeza uongozi wa timu hiyo kwa kufuata ushauri alioutoa wa kutaka kuvunjwa kwa timu hiyo ili isajili wachezaji vijana ambao watajenga timu mpya. Mgunda aliiwezesha Simba kumaliza katika nafasi ya tatu ndani ya Ligi…

Read More

HONGERENI KWA KUWEKA REKODI KWA MKAPA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Alhamis, 11 Julai 2024, amefungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Watendaji na Viongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), wilaya zote na mikoa yote, nchi nzima, yanayofanyika katika Chuo cha UVCCM Ihemi, mkoani Iringa. Baada ya kuwasili chuoni hapo, Balozi Nchimbi amepokelewa…

Read More

Mawakili wajadili juu ya kulindwa kwa utawala wa sheria – DW – 11.07.2024

Wanasheria hao kutoka Jumuiya ya mawakili wa Afrika Mashariki leo wamekutana na wanahabari na asasi za kiraia mjini Dar es Salaam, ili kuangalia kwa pamoja namna ambavyo nchi wanachama zinavyoweza kuchochea mabadiliko katika sheria zinazominya uhuru wa habari na upatikanaji wa taarifa hasa katika zama za kidijitali. Katika warsha hiyo, wanasheria hao walichambua sheria mbalimbali za…

Read More

Aliyekuwa kocha Biashara atoa msimamo

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Biashara United ya Mara, Amani Josiah amesema kwa sasa yuko huru baada ya kumaliza mkataba na klabu hiyo huku akikiri kupokea ofa kutoka timu mbalimbali ambazo bado hajazitolea uamuzi akisubiri timu itakayomshawishi kwa ofa nzuri. Josiah aliiongoza Biashara msimu uliopita katika Ligi ya Championship akisaidiana na Edna Lema na Ivo Mapunda,…

Read More

Rais Samia amteua bosi mpya Usalama wa Taifa

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa leo Alhamisi Julai 11, 2024. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Mululi Majula Mahendeka na kusainiwa na Sharifa Nyanga, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Mombo amechukua nafasi ya Balozi…

Read More

BALOZI NCHIMBI AONYA VIONGOZI KUTOA KAULI ZA KIBAGUZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuepuka kutoa kauli au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa baadhi yao wanashabikia ukandamizaji wa haki za wananchi. Katibu Mkuu Balozi Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa maneno na vitendo vya wana-CCM wakati wote lazima…

Read More