
Ufudu ajilipua Mashujaa | Mwanaspoti
BAADA ya kudumu Kagera Sugar kwa miaka minne, Julai 7, mwaka huu kiungo, Ally Nassoro Iddi ‘Ufudu’ alitua Mashujaa FC ya Kigoma akisaini mkataba wa mwaka mmoja, huku akifichua siri ya kujiunga na maafande hao na yuko tayari kupambania namba kikosini hapo. Ufudu ni usajili wa kwanza kutambulishwa na Mashujaa kwenye dirisha hili akifuatiwa na…