Mafunzo tunayotoa yanaakisi mahitaji ya nchi – Profesa Kusiluka

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Lugalo Kusiluka, amesema mafunzo yanayotolewa katika chuo hicho yanaakisi mahitaji ya nchi kutokana na tafiti na bunifu mbalimbali zinazofanywa ambazo nyingi zimeleta matokeo chanya kwa jamii. Profesa Kusiluka ameyasema hayo Julai 10,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) ambapo…

Read More

Dk.Ndumbaro aanza ziara jimboni kutatua kero za wananchi

Na Mwandishi Wetu, Songea Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dk. Damas Ndumbaro ameanza rasmi ziara katika jimbo hilo kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Katika ziara hiyo Ndumbaro ameambatana na wataalamu mbalimbali kutoka katika Manispaa ya Songea Mjini ili kusikiliza hoja na kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Andabwile, Kagoma nisikilizeni kwa umakini

DIRISHA la usajili lilichangamka sana wiki hii hasa kwa timu mbili vigogo nchini Simba na Yanga ambazo zilitambulisha baadhi ya wachezaji wao na wengine zikawapa ‘Thank You’. Miongoni mwa wachezaji waliotambulishwa ni viungo wawili wakabaji, Yusuf Kagoma na Aziz Andabwile ambao msimu uliopita walikuwa wakiitumikia Singida Fountain Gate. Aziz Andabwile alitambulishwa na Yanga ikionekana ni…

Read More