
Hakuna Mafuta, hakuna chakula – DW – 11.07.2024
Akiwa na umri wa miaka 75, Galiche Buwa ameishi na kushuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe, njaa na majanga ya asili, lakini mjane huyo wa Sudan Kusini, mama wa watoto wanne, mara zote alifanikiwa kupata riziki na maisha yalisonga, kutokana na biashara yake ya kuuza vyakula na mboga mboga. Lakini sasa, hata biashara hiyo iko…