Kuonana na nabii mbinde, malipo yake mamilioni-2

Dar es Salaam. “Kama una Sh500,000 nenda pale kaandikishe jina lako uende kumuona nabii.” Hii ni kauli ya mhudumu wa kanisa mojawapo la maombezi, akiwatangazia waumini, ikiwa ni sehemu ya kile ambacho Mwananchi limebaini katika mfululizo wa uchunguzi wake kuhusu waumini wa makanisa hayo wanavyokamuliwa mamilioni ya shilingi na viongozi wa dini ili waombewe au kubarikiwa….

Read More

NIONANVYO: Kombe la Kagame, Walioitwa hawaitiki

MICHUANO ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) inaendelea jijini Dar es Salaam. Hii ni moja ya michuano ya muda mrefu ya klabu Afrika. Awali yalijulikana kama Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati na baadae mwaka 2002, yaliitwa Kombe la Kagame baada ya kudhaminiwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame ambaye ni…

Read More

Profesa Mkenda awapa kibarua hiki watafiti

Dar es Salaam. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo elimu na kilimo, kwa lengo la kuchochea ustawi endelevu wa maendeleo kiuchumi. Amesema hayo jana Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika ufunguzi wa mkutano…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKAGUA MIRADI MBALIMBALI KASUMO – BUHIGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesisitiza umuhimu wa wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii kuwasaidia wananchi kwa kutoa elimu kuepukana na maradhi mbalimbali. Makamu wa Rais ametoa wito huo mara baada ya kutembelea Zahanati ya Kijiji cha Kasumo akiwa wilayani Buhigwe mkoani Kigoma. Amesema maradhi yanayotajwa kuwasumbua…

Read More

Baraza la haki za Umoja wa Mataifa limelaani dhuluma za Myanmar, lataka hatua za haraka zichukuliwe – Global Issues

Katika azimio lililopitishwa bila kura, Baraza hilo limelaani vikali ukiukaji na ukiukwaji wote wa haki za binadamu nchini Myanmar, haswa kufuatia mapinduzi ya kijeshi mnamo Februari 2021. Imeitaka Myanmar “kukomesha mara moja unyanyasaji na ukiukaji wa sheria za kimataifa nchini humo, ili kuhakikisha ulinzi kamili wa haki za binadamu na uhuru wa kimsingi wa watu…

Read More

Wafanyabiashara Kariakoo wafunga Barabara ya Lumumba Dar

Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara wanaodai majina yao kutokuwamo kwenye orodha ya watakaorejea Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamegoma kuondoka katika Barabara ya Lumumba, kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM. Wamechukua uamuzi huo wa leo Alhamisi, Julai 11, 2024 baada ya kufika Viwanja vya Mnazi Mmoja kuhakikiwa upya na kueleza…

Read More