Mwabukusi auweka njiapanga uchaguzi TLS, kesi yafunguliwa

Mwanza. Sakata la uchaguzi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) limeendelea kuchukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Ziwa, Steven Kitale kufungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi ya TLS. Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, leo Jumatano, Julai 10, 2024, Kitale amesema katika shauri hilo namba 16018/2024, lililofunguliwa Mahakama…

Read More

Safari ya Aziz Ki na Yanga – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tangu Aziz Ki alipojiunga na klabu ya Yanga msimu wa 2022/2023, mashabiki wa soka hasa hasa wa Yanga wamekuwa na kitu cha ziada cha kufurahia kila mechi. Kijana huyu mwenye kipaji cha kipekee amekuwa kielelezo cha ustadi, umahiri, na uhodari kwenye timu ya Yanga SC. Kila mara anapokanyaga uwanja, ni kama nyota inayong’ara usiku wa…

Read More

Ajali ya basi Manyoni yajeruhi 28

Singida. Watu 28 wamejeruhiwa katika ajali baada ya basi la kampuni ya Zube Trans lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kupinduka. Ajali hiyo imetokea leo Julai 11, 2024 asubuhi katika eneo la Njirii, Itigi mkoani Singida. Mganga Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Dk Furaha Mwakafwila amesema wamepokea majeruhi 28, kati yao wanawake ni 15…

Read More

MAGDALENA: Ondoeni hofu, medali ya Olimpiki ipo!

MWANARIADHA nyota wa Kimataifa wa Tanzania, Magdalena Shauri, ni miongoni mwa Watanzania wanne watakaoenda kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris, Ufaransa wakibeba mioyo ya wananchi zaidi ya milioni 60. Magdalena anayetokea katika timu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ataungana na wenzake Jackline Sakilu, Alphonce Simbu na Gabriel Geay, kukata kiu yake ya kushiriki…

Read More

Simba yanasa beki mwingine wa kulia, Mwenda kitanzini

LICHA ya kikosi chote kipya cha Simba kuwa kambini Ismailia, Misri, hiyo haijawazuia mabosi wa klabu hiyo kuendelea kushusha mashine mpya, baada ya kumnasa beki aliyekuwa Singida FG, Kelvin Kijiri ili kuimarisha eneo hilo la kulia lenye mkongwe Shomari Kapombe. Kijiri amemalizana na Simba kwa mkataba wa miaka miwili na Mwanaspoti linafahamu, beki huyo amemwaga…

Read More

Juhudi za uokoaji za Ukraine, mwanaharakati wa Libya kutekwa nyara, athari za hali ya hewa kwenye hifadhi ya samaki, SDG 'simu ya kuamka' – Masuala ya Ulimwenguni

Mashambulizi hayo pia yaliharibu majengo 130 – huduma za uokoaji bado zinafanya kazi ya kusafisha mabaki. Shughuli za uokoaji Mashambulizi hayo ya anga siku ya Jumatatu yalipiga na kuharibu Hospitali ya Watoto ya Okhmatdyt, ambapo shughuli za uokoaji zimekamilika. Kwa mujibu wa maofisa wa Serikali na washirika waliokuwepo uwanjani hapo, watoto sita waliojeruhiwa katika shambulio…

Read More