
Mwabukusi auweka njiapanga uchaguzi TLS, kesi yafunguliwa
Mwanza. Sakata la uchaguzi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) limeendelea kuchukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Ziwa, Steven Kitale kufungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi ya TLS. Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, leo Jumatano, Julai 10, 2024, Kitale amesema katika shauri hilo namba 16018/2024, lililofunguliwa Mahakama…