Chuku: Huyu Bocco bado sana!

SIMBA imeachana na aliyekuwa nahodha wa timu hiyo ambaye amehudumu kwa miaka sita ndani ya kikosi hicho akitwaa mataji ya ndani wakiaamini atastaafu, lakini mambo yamebadilika kwani ameibukia JKT Tanzania. Wakati staa huyo mwenye rekodi nzuri kwenye eneo analocheza bado hajaanza kibarua cha kuitumikia timu yake mpya ya JKT Tanzania, aliyekuwa beki wa Pamba, Salum…

Read More

Tirdo wanadi maabara inayozuia upotevu wa umeme

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limewataka wenye viwanda na wafanyabiashara kutumia maabara za kupima na kutambua upotevu wa umeme ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Maabara hiyo inamwezesha mtumiaji wa umeme kwenye majengo makubwa, viwandani na majumbani kupunguza matumizi ya nishati hiyo…

Read More

Bocco atambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji wa JKT Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Bocco, ametambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji mpya wa klabu ya JKT Tanzania. Bocco, ambaye ni kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Tanzania, tayari ameanza mazoezi na klabu yake mpya, akijiandaa kwa msimu ujao. Msimu uliopita haukuwa mzuri kwa Bocco kutokana na kutopata nafasi…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AKAGUA MAANDALIZI MAADHIMISHO SIKU YA MASHUJAA 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga  tarehe 10 Julai, 2024 amekagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa inayotarajiwa kufanyika tarehe 25 Julai, 2024 jijini Dodoma. Mhe. Ummy ameridhishwa na maandalizi hayo yanayoendelea na anaimani kwamba maandalizi hayo yatazidi kufanyika vizuri na yatakamilikalika…

Read More