Wafanyabiashara Moshi, wakubali yaishe, wafungua maduka

Moshi. Mgomo wa wafanyabiashara wa kufunga maduka katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mjini Moshi, umemalizika baada ya kukubaliana na Serikali kuyafungua na kusubiri hadi mwaka ujao wa fedha, kwa kuwa suala hilo lipo kisheria. Wafanyabiashara hao wamegoma leo Jumanne Julai 30, 2024 wakisema, wamelazimika kufunga maduka yao baada ya manispaa kushindwa kutekeleza ahadi waliyoahidi. Wamesema…

Read More

Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mtoto darasa la pili

Tabora.  Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia mwalimu mmoja (jina limehifadhiwa) wa Shule ya Awali ya St. Doroth iliyopo Manispaa ya Tabora kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa shule hiyo anayesoma darasa na pili. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Julai 30, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema tayari wanamshikilia…

Read More

TCB YAZINDUA HUDUMU MPYA “TCB POPOTE ACCOUNT”

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua huduma mpya ya akaunti ya kidigitali (TCB POPOTE ACCOUNT ) ambayo itakayomfanya mteja alipie bili mbalimbali kupitia simu yake ya mkononi akiwa sehemu yoyote.   Akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla hiyo ambayo imefanyika leo Julai 30, 2024 katika ofisi za TCB Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Masoko…

Read More

Tanzania inavyozidi ‘kuwalainisha’ wawekezaji wa China

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji wa Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema kama ilivyo azma ya Serikali kuvutia uwekezaji, tayari wamezipokea kampuni kutoka China zilizotua nchini kutaka kuwekeza. Profesa Mkumbo amesema ameshazungumza na kampuni hizo ili kuzishawishi kuwekeza ikiwamo kwenye viwanda, kilimo, utalii, madini na misitu. Profesa Mkumbo amebainisha…

Read More

WAZIRI UMMY AMUAGA BALOZI WA IRELAND, UK, CANADA

Na WAF – Dar Es Salaam  Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo Julai 30, 2024 amemshukuru na kumuaga Balozi wa Ireland Mhe. Mary O’Neil, Balozi wa UK Mhe. David Concar pamoja na Balozi wa Canada Mhe. Kyle Nunas baada ya kumaliza muda wao wa utumishi hapa nchini.   Wakati wa kikao hicho kilichofanyika kwa nyakati…

Read More

Kupotea watoto kwaisukuma E.A.G.T Temeke kufanya maombi maalumu

Na Winfrida Mtoi Kanisa la Evangelistic Assemblies of God  (E.A.G.T), Temeke linatarajia kufanya semina na maombi maalumu  kuliombea Taifa, viongozi pamoja na kuomba  ili kuondokana na tatizo la watoto kupotea. Semina hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 4 -11,2024, viwanja vya  Temeke Chang’ombe jijini Dar es Salaam, huku neno kuu likiwa ‘ Yote Yanawezekana kwa Mungu Wetu’….

Read More