
NIC yaweka mikakati ya kulinda Uwekezaji nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Insurance Kaimu Mkeyenge akiwa katika Maonesho ya Sabasaba katika Ofisi ya NIC Insurance na baadhi ya Wadau kwa moja kwa moja na NIC. *Kutokana na Bima zao kwa kulipa fidia ya majanga kwa wakati. Na Chalila Kibuda Mkurugenzi mtendaji wa NIC Insurance NIC Kaimu Abdi Mkeyenge amesema kufuatia uwekezaji unaondelea nchini…