TETESI ZA USAJILI BONGO: Mkenya kwenye rada za Yanga

YANGA imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya baada ya mkataba wake na Singida Black Stars kuisha. Nyota huyo aliyejiunga na Singida akitokea timu ya Kenya Police, inaelezwa huenda akatua Jangwani ili kupata changamoto mpya huku Yanga ikiingilia kati dili baada ya awali Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ kumhitaji pia. UONGOZI wa Yanga huenda…

Read More

TCRA yaeleza makosa huduma za utangazaji nchini

Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mwaka 2021/22 na 2022/23 kuhusu maudhui ya redio, televisheni na mitandao yenye leseni ulionesha  asilimia 26 ya ukiukwaji ulihusu kutozingatia kanuni za kumlinda mtoto. Kanuni za utangazaji na za maudhui zinawataka watoa huduma kuepuka maudhui yasiyofaa kwa watoto wakati wa familia nzima kusikiliza redio…

Read More

Kuimarika kwa kidijitali kunaweza kuwa kikwazo kwa mazingira, linaonya shirika la biashara la Umoja wa Mataifa – Global Issues

Haya ni baadhi tu ya matokeo yanayohusu ripoti mpya kuhusu uchumi wa kidijitali na wakala wa biashara wa Umoja wa Mataifa UNCTADambayo inasisitiza kuwa Athari hasi za mazingira za sekta inayostawi lazima zichukuliwe kwa umakini zaidi – na zipunguzwe na uwekezaji katika bidhaa zinazoweza kurejeshwa. “Kuongezeka kwa teknolojia kama vile akili bandia na cryptocurrency, madini…

Read More

AI ilivyoleta mageuzi michezo ya Casino Tanzania

Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia mabadiliko makubwa katika sekta ya michezo ya Casino. Mabadiliko haya yamechagizwa hususan na ujumuishaji wa teknolojia za akili bandia za hali ya juu. Kuanzia kuboresha uzoefu wa wateja hadi kuboresha utendaji kazi, akili bandiainajenga upya uga wa burudani ya michezo ya Casino nchini. Kuibuka kwa matumizi ya Akili…

Read More

Ajali ya lori, Toyota Harrier yaua watu watatu

Kilosa. Watu watatu wakiwemo raia wawili wa Burundi wamefariki dunia baada ya lori kugongana na gari ndogo na kisha kuwaka moto. Lori hilo lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Burundi liligongana na Toyota Harrier, kisha kuwaka moto usiku wa kuamkia Julai 9, 2024 eneo la Kwambe barabara kuu ya Morogoro -Dodoma. Miili miwili imepatikana baada…

Read More

TOTAL Energies YAZINDUA MSIMU WA TATU WA PROGRAM YA USALAMA BARABARANI KWA WANAFUNZI ‘VIA ROAD SAFETY’

*Yapongezwa kwa kuunga mkono shughuli za jamii, Elimu yatakiwa kuwa msingi wa usalama barabarani na ulinzi binafsi wa wanafunzi KAMPUNI Ya TotalEnergies Marketing Tanzania imezindua rasmi msimu wa tatu wa programu ya ‘Via Road Safety’ mahususi kwa ajili ya usalama barabarani kwa wanafunzi huku ikielekezwa kuwa elimu hiyo iende sambamba na usalama wao kijinai kwa…

Read More