Gamondi: Yanga inapangika tu | Mwanaspoti

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema licha ya usajili wa mastaa waliosajiliwa katika timu hiyo, hana hofu ya kupanga kikosi. Gamondi amesema kikosi kitakuwa kinapangwa kulingana na aina ya wapinzani wanaokutana nao. Amesema mbali na wapinzani, pia itategemea na viwango vya wachezaji ili kutumika kwenye michezo husika. “Ugumu wa kupanga timu? Hapana. Hakuna ugumu, timu…

Read More

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbarali aipongeza TVLA kwa kutoa elimu ya magonjwa ya wanyama

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, Missana Kwangura, ameipongeza Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kwa kutoa elimu kwa wananchi wanaotembelea Maonesho ya Sabasaba kuhusu uchunguzi wa magonjwa ya wanyama na uchanjaji wa mifugo ili kuwakinga na magonjwa mbalimbali. Kwangura alitoa kauli hiyo Julai 9,…

Read More

Gamondi achekelea Aziz KI kubaki Yanga

Licha ya kutokuwepo kwenye mazoezi ya leo, kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kila mtu  ndani ya timu hiyo amefurahishwa na taarifa ya Stephanie Aziz Ki kuendelea kuitumikia timu hiyo. Kauli hiyo ya Gamondi inakuja baada ya saa chache kupita tangu Aziz KI kuthibitisha kwamba ataendelea kusalia ndani ya kikosi hicho. Azizi Ki amerejea nchini…

Read More

Wawili wafariki dunia kwa kunywa dawa ya kuacha pombe

Katavi. Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kunywa dawa ya kienyeji ili waache kunywa pombe kupindukia. Tukio hilo lilitokea Julai 9, 2024 saa nne usiku katika Mtaa wa Kazima Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Akizungumza na Mwananchi Digital, Jastin Patrick mjomba wa marehemu Paulo Mbalimba na Dismas Malimba amesema kutokana na unywaji…

Read More

MKENDA ASISITIZA TAFITI ZA KISAYANSI KUONGEZA TIJA YA UZALISHAJI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo Elimu na kilimo kuchochea ustawi Endelevu wa maendeleo kiuchumi. Mkenda amesema hayo leo Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu unaojadili ushahidi wa matokeo…

Read More

Biko Scanda anukia CEO mpya Pamba

KLABU ya Pamba Jiji iko katika mazungumzo na Biko Scanda ili awe mtendaji mkuu mpya kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zimeiambia Mwanaspoti kwamba, vikao vya ndani vinaendelea kwa ajili ya kumpata mtendaji mkuu baada ya mkutano uliofanyika Juni, mwaka huu jijini Mwanza kushindwa kupata mtu sahihi. “Mazungumzo baina ya…

Read More

Sugu akumbuka maumivu ya mama yake akihutubia wananchi Kabwe

Mbeya. “Tutawasamehe lakini hatutasahau.” Ni kauli aliyozungumza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ katika mkutano wa kwanza wa hadhara jijini Mbeya. Sugu aliyewahi kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika Mei 29, 2024 alipombwaga Mchungaji…

Read More