MZUMBE YABUNI MBEGU YA MGOMBA KUPITIA NDIZI MBIVU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KUFUATIA changamoto kwa wakulima wa zao la ndizi kuwa na uhaba wa mbegu bora za migomba ya ndizi, mwanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe amefanya utafiti na kubuni mbegu bora ya kisasa kwa kutumia ndizi mbivu  Akizungumza leo Julai 10,2024 katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayofanyika…

Read More

Geita kasi ya ukuaji watu ni 5.4%

Imeelezwa kuwa Mkoa wa Geita watu wanakua kwa kasi kubwa kuliko ule wastani wa kawaida wa kitaifa ambapo takwimu zinaonyesha Mkoa wa Geita unakuwa kwa Asilimia 5.4 ambapo Kitaifa ni Asilimia 3.2. Hayo yameelezwa na Mchambuzi wa Idadi ya watu na Maendeleo kutoka shirika la Kimataifa UNFPA Ramadhani Hangwa wakati alipokuwa akiwasilisha Taarifa fupi Mkoani…

Read More

Kauli ya mwisho kwa mchumba wake kabla ya muuguzi KCMC kutoweka

Moshi. Neema Mmasy, mchumba wa muuguzi katika Hospitali ya Rufaa KCMC, Lenga Masunga (38), aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha ameeleza walichozungumza mara ya mwisho, alipomtaarifu ametoka kazini. Amesema walikuwa na utaratibu wa kuwasiliana mara kwa mara, wakati wa kwenda na kutoka kazini. Akizungumza na Mwananchi amesema Julai 2, 2024 saa 10.00 jioni waliwasiliana,  akamtaka aendelee…

Read More

Hii ndio Simba sasa iko ‘full’ mkoko

SIMBA imeamua. Baada ya misimu mitatu ya unyonge katika Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA), Wekundu wa Msimbazi wamezinduka na kufanya usajili wa kibabe. Ikiwa na hasira ya kutolewa kinyonge na Mashujaa, kisha kumaliza nafasi ya tatu katika Ligi Kuu na kujikuta kwa mara ya kwanza ndani ya misimu sita, timu hiyo hiyo…

Read More

Simba tena kwenye makazi ya watu Iringa, mmoja auawa

Iringa. Ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu simba wazue taharuki katika wilaya za Iringa na Kilolo, wanyama hao wameibuka tena katika Wilaya ya Mufindi, mmoja akiuawa na wananchi baada ya kushambulia mifugo. Diwani wa Igowole, Castory Masangula amesema leo Julai 10, 2024 kuwa wameua simba anayedaiwa kula ng’ombe watano katika maeneo mbalimbali ya kata hiyo….

Read More