TDI kupanda miti 1,500, kuchimba kisima shule ya Nyamilama

Na Mwandishi wetu, Mwanza KATIKA kuhakikisha wanakabiliana athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Together Development Initiative (TDI) lililopo Nyakato jijini Mwanza limeamua kupanda miti 1,500 ya matunda, kivuli, mbao na dawa katika shule ya msingi Nyamilama wilayani Magu na kuchimba kisima cha maji. Miti hiyo itapandwa katika shule hiyo iliyopo kijiji cha Lugeye kata…

Read More

Masauni atangaza hadharani kuifumua Nida

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Hamad Masauni amesema halidhishwi na utendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), huku akiwaahidi wananchi kwenda kusafisha uozo ulipo. Kauli hiyo, imetolewa baada ya kupokea kilio cha wananchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam waliomlalamikia Waziri huyo kuwa wanamuda mrefu wanatumia namba lakini kila…

Read More

SERIKALI IMEJIPANGA KUFANYA MABORESHO YA BARABARA NCHINI

Na Mwandishi wetu WANANCHI Nchini wamekuwa na malalamiko mbalimbali kuhusiana na ubovu wa barabara. Kutokana na hali hiyo Serikali pamoja na Taasisi mbalimbali zimekuwa zikijitokeza katika kufanya marekebisho ya barabara hizo. Hivi karibuni Naibu Katibu Mkuu (Miundombinu) kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Injinia Rogatus Mativila, alifanya ziara na…

Read More

Washtakiwa wawili kesi ya ukahaba kukamatwa

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, imeamuru washtakiwa wawili kati ya 18 katika kesi ya ukahaba wakamatwe kwa kosa la kukiuka masharti ya dhamana. Mahakama imefikia uamuzi huo baada ya washtakiwa hao na wadhamini wao kutohudhuria mahakamani. Amri hiyo imetolewa leo Jumatano Julai 10, 2024 na Hakimu Mkazi Francis Mhina kutokana na…

Read More

WAZIRI MKUU AWAJULIA HALI WAGONJWA MUHIMBILI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Felista Swebe, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa matibabu, wakati alipokwenda katika hospitali hiyo kuwajulia wagonjwa, Julai 10.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Rose Job, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa matibabu, wakati alipokwenda katika…

Read More

Shule 'zimepigwa mabomu' katika ongezeko la hivi punde la Gaza, anasema mkuu wa UNRWA – Global Issues

“Shule nne ziligonga katika siku nne zilizopita. Tangu vita kuanza, theluthi mbili ya UNRWA shule huko Gaza zimepigwa, zingine zililipuliwa, nyingi zimeharibiwa vibaya,” Alisema Philippe Lazzarini, katika chapisho kwenye X. Katika taarifa iliyotumwa siku ya Jumanne, jeshi la Israel lilisema limekuwa likilenga “miundombinu ya kigaidi na waendeshaji wa kigaidi” katika mji wa Gaza. Chini ya…

Read More

Jeshi la Germany lina utayari kubeba dhamana NATO? – DW – 10.07.2024

NATO ilianzishwa kufanya kazi kama muungano wa kijeshi kujilinda dhidi ya Umoja wa Kisovieti. Ndani ya jeshi hilo, jeshi la Ujerumani Magharibi lilipata mafunzo ya kujilinda dhidi ya mashambulizi kutoka Ujerumani Mashariki. Miongo mitatu baadae, kitisho kinakuja tena kutoka Urusi.  Ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 1996, wakati wanajeshi wa Ujerumani wakiwa wamevalia nguo za kivita walipoingia…

Read More

Mmoja kati ya watatu ana shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema theluthi moja ya watu wazima duniani wana shinikizo la juu la damu, sawa na mtu mmoja kati ya watatu. Takwimu hizo za WHO kwa mujibu wa wataalamu, zinawiana na hali ilivyo nchini Tanzania, hivyo wameshauri mambo saba ya kuzingatiwa kuepuka au kukabiliana na tatizo hilo. Miongoni…

Read More