BILIC: Mwamba wa Croatia mwenye vituko vyake

UNAZIFAHAMU nchi za Balkan? Hizi ni Serbia, Croatia, Macedonia, Slovania, Kosovo na Montntenegro na awali zilikuwa taifa moja la Yugoslavia mwaka 1943, kabla ya kusambaratika kwa taifa hilo na kuibuka nchi hizo mwaka 1991. Kisoka kwenye nchi hizi, ni Croatia ndiyo inayojulikana zaidi kati ya nchi hizo na imecheza fainali tano za Kombe la Dunia,…

Read More

Yaliyomkumba DC Bomboko ndani ya miezi mitatu Ubungo

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kwa miezi mitatu ya uongozi wake ndani ya wilaya hiyo, amekumbana na ukosoaji wa hatua mbili alizochukua ikiwamo oparesheni ya kutokomeza biashara ya ‘makahaba’ maarufu dada poa. Operesheni hiyo ilipingwa kwa kile kilichoelezwa ukamataji uliofanyika unakiuka haki za binadamu na unaudhalilishaji. Kadhia nyingine aliyokumbana nayo…

Read More

Arusha kuna kishindo cha Lina PG Tour

Kesho katika viwanja vya Gymkhana jijini Arusha na magwiji wa gofu nchini wamenza kusaka kitita cha Sh50 milioni, kwa washindi wa raundi ya tatu ya mfululizo wa mashindano maalumu ya kumuenzi, Lina Nkya,  mlezi na mwendelezaji wa gofu ya wanawake aliyefariki dunia miaka ya karibuni. Kwa mujibu wa Mkurugenzi na mratibu wa mashindano hayo yaliyopewa…

Read More

Wageni wa TCA waibamiza Timu ya Taifa leaders

WAKATI Ligi ya mizunguko 20 ya Caravans T20 ikihitimisha hatua ya makundi katika viwanja mbalimbali jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma, kulifanyika mechi kali ya wakali wa mchezo huo mwanzo mwa juma hili. Mechi hiyo iliyoandaliwa na chama cha kriketi nchini(TCA), iliwakutanisha nyota ya timu ya Taifa na wachezaji wa kigeni waliong’ara kwenye ligi….

Read More

Milioni tatu zachangwa ujenzi nyumba ya mtumishi CCM

Mjumbe wa Halmashauri Kuu (CCM) mkoa wa Songwe, Ombeni Nanyoro ametoa msaada wa tofali 10,000 na bando sita za bati kuchangia ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa chama hicho. Anaripoti Ibrahim Yassin, Sumbawanga…(endelea). Nanyaro aliyekuwa mgeni rasmi jana kwenye kwenye Baraza la Umoja wa vijana (VCCM ) wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, ametoa msaada huo…

Read More

Madereva 25 kuchuana Tanga | Mwanaspoti

IDADI ya madereva na waongozaji inatarajiwa kuongezeka maradufu na kufikia 25 wakati mpango wa kuwashirikisha madereva zaidi kutoka Kenya ukiendelea kabla ya mbio hizo kutimua vumbi mkoani Tanga, Julai 21, mwaka huu. Kwa mujibu wa waandaaji wa mbio hizo, Mount Usambara Club, awali ni madereva 15 pekee walithibitisha kushiriki mbio hizo, lakini idadi hiyo sasa…

Read More

Dosari za Tehama zinavyozihenyesha taasisi za umma Zanzibar

Unguja. Licha ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ya awamu ya nane kuwekea mkazo katika mabadiliko na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), imebainika bado utayari, ukosefu wa wataalamu na usimamizi hafifu unakwamisha ukuaji wa sekta hiyo. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2022/23 imefichua upungufu unaosababishwa…

Read More

Wajawazito wenye dharura kupata usafiri bila malipo

Kibaha. Vifo vya wanawake vinavyotokana na changamoto za uzazi vimepungua kutoka 37 mwaka 2023 hadi kufikia 12 mwaka 2024 mkoani Pwani. Hatua hiyo imefikiwa kutokana na utekelezaji mfumo wa usafirishaji wa dharura wa wajawazito wenye matatizo baada ya kujifungua kutoka kituo kimoja kwenda kingine kupata huduma kulingana na changamoto wanazopata. Mfumo huo wenye lengo la…

Read More