SPOTI DOKTA: Mvunjiko wa pua wa Mbappe uko hivi

KATIKA mchezo wa nusu fainali ya Euro 2024, juzi Jumanne nchini Ujerumani, miamba ya soka barani Ulaya Ufaransa ilitupwa nje ya mashindano ikiwa na staa wake mwenye mvunjiko wa pua, Kylian Mbappe. Yalikuwa ni matoke mabaya kwa timu hiyo ambayo ndio walikuwa wa kwanza kutikisa nyavu, lakini baadaye kibao kiligeuka wakajikuta wakichapwa mabao 2-1. Siku…

Read More

Usiyopaswa kuyafanya ndani ya treni ya SGR

Dar es Salaam. Kama umezoea kuamua aina ya begi la kusafiria, kubeba kuku, mbwa na wanyama wengine unapokwenda kupanda basi, hali haiko hivyo kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR). Kwa taarifa yako, begi la shangazi kaja, mizigo inayozidi kilo 30 na wanyama wakiwemo wa kufugwa si sehemu ya vitu unavyopaswa kuwa navyo unapotaka kwenda…

Read More

Aziz KI amaliza utata Yanga, Baleke vipimo freshi

WAKATI Jean Baleke akianza rasmi tizi na Yanga leo, kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo, Stephane Aziz KI amemaliza utata juu ya hatma ya kusalia katika timu hiyo au kuondoka baada ya kutua alfajiri ya kuamkia leo kisha saa 8 mchana amezungumza na Wanayanga ‘laivu’ kusisitiza bado yupo sana Jangwani. Aziz aliyezua sintofahamu baada ya kudaiwa kutosaini mkataba…

Read More

‘Sura’ na upekee wa maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Unaweza kusema maonyesho ya 48 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu Sabasaba mwaka huu ni ya kipekee kutokana na ongezeko la kampuni za kigeni zilizoshiriki zikiwamo za magari. Maonyesho haya yanaweka upekee kwa watembeleaji pia,  hasa baada ya kuwapo kwa bidhaa nyingi za kielektroniki kutoka nje kwa ajili ya…

Read More

Mgambo apigwa na wamachinga, akimbilia kanisani

Mwanza. Askari anayedaiwa kuwa wa Jeshi la Akiba maarufu mgambo ambaye jina lake halikupatikana amekimbilia kanisani kunusuru maisha yake baada ya kushambuliwa na wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Julai 10, 2024, eneo la Soko la Buhongwa jijini Mwanza, wakati mgambo hao walipochukua matunda ya Wamachinga wanaofanya biashara eneo hilo. Katika eneo…

Read More

Ajira mpya 12,000 za walimu kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu – Mhe. Katimba

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amewahakikishia wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kichangachui iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji kuwa, katika mwaka wa fedha 2024/25 Serikali itaajiri walimu 12,000 ili kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu nchini. Mhe. Katimba ameeleza mpango huo wa Serikali kuajiri walimu, mara baada ya kutakiwa na Makamu wa…

Read More