Maandamano yaiweka Kenya hatarini kutokopesheka

HUENDA Kenya ikanyimwa mikopo baada ya kushushwa hadhi kwenye viwango vya Shirika la Kimataifa la kutathmini Madeni ya Mataifa na Utoaji Mikopo (Moody’s). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Ripoti ya Moody’s iliyotolewa jana Jumanne imeonyesha kuwa, kutotiwa saini kwa Muswada wa Fedha 2024/25 kumechangia Kenya kushuka viwango na kuwa kati ya nchi zinazoelekea kuelemewa…

Read More

Mil.120 za mapato ya ndani zajenga wodi 3 Mbinga

Mkurugenzi wa Idara ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Kashushura kwa kutenga fedha Shilingi Mil. 120 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa wodi tatu ( wanaume, wanawake, watoto) zinazojengwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Simba yamsajili mrithi wa Kapombe

SIMBA imegusa kila eneo msimu huu isipokuwa mlinda mlango tu hii ni baada ya kukamilisha usajili wa beki, Kelvin Kijiri kutoka Singida Fountain Gate. Wanamsimbazi hao wamesafisha kikosi chao kilichoshindwa kutwaa mataji kwa misimu miwili mfululizo huku wakisajili damu changa kwa kugusa kila eneo. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwanaspoti kuwa Kijiri…

Read More

Mradi wa bilioni Moja kuwanufaisha wananchi wa Kiuyu, Waziri Chande atoa neno “vyumba 18 vya ofisi”

Naibu waziri wa Fedha, Hamad Chande amesema wananchi wa Kiuyu kigongoni wilaya ya Wete mkoa wakaskazini Pemba wanatarajia kunufaika na huduma za afya zitakazotolewa katika kituo cha afya cha kisasa kinachojengwa katika eneo hilo. Naibu waziri Chande amesema hayo kisiwani Pemba baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa kituo hicho ambapo amesema pamoja na changamoto…

Read More

Mkutano wa kilele wa NATO kufanyika Washington – DW – 10.07.2024

Viongozi wanachama wa NATO pia watazungumzia jinsi ya kuimarisha umoja wao kutokana na changamoto zinazouandama ulimwengu wa Magharibi. Mkutano huo wa kilele unafanyika baada ya sherehe zilizofanyika usiku wa kuamkia Jumatano kuadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa kwa muungano huo wa kijeshi, zilizofanyika mjini Washington. Rais Biden ahimiza mshikamano Rais wa Marekekani, Joe Biden ambaye ndiye…

Read More

Balozi Mette aaga rasmi, Makamba azungumzia mchango wake

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amemuaga Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette Norgaard Dissing Spandet baada ya kumaliza muda wake wa kuhudumu hapa nchini. Waziri Makamba amempongeza Balozi Mette jana Jumanne Julai 9 2024 jijini Dar es Salaam katika ofisi ndogo za wizara hiyo, kwa…

Read More

TUMIENI MFUMO WA e-MREJESHO KUWASILISHA KERO ZENU SERIKALINI: e-GA

Na Mwandishi wetu Dodoma WANANCHI wametakiwa kutumia mfumo wa kupokea maoni, malalamiko au pongezi Serikalini (e-Mrejesho), ili kuwasilisha maoni yao na Serikali iweze kuyafanyia kazi kwa wakati. Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mhandisi Benedict Ndomba, wakati akizungumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Mamlaka jijini Dodoma. Ndomba…

Read More