
Tadayo akagua miradi Mwanga, zahanati ilikwama miaka 20 mambo safi
Mbunge wa Mwanga (CCM) Joseph Tadayo ameanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni humo ikiwamo mradi wa ujenzi wa zahanati ya Kimbale iliyokuwa imekwama kwa zaidi ya miaka 20. Anaripoti Safina Sarwatt, Kilimanjaro … (endelea). Pia mbunge huyo amekagua ujenzi wa mradi wa madarasa mawili shule ya msingi Mwero ikiwemo ofisi, choo cha matundu…